Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
-
- #161
Nashukuru sana mkuu kwa ufafanuzi huu, nitaufanyia kazi.Ukiionesha kumtaka saana basi ndio anakuwa na advantage juu Yako.
Fanya kama unafuga paka.
Weka maziwa akipita atayaona ,
kama anayataka atakunywa.
Hataki mwache.
Paka hatafutwi Wala aaminiki anaweza kupiga makucha for no reason.
hatimaye tumefikiwa 😁, unataka kuweka ushuhuda mkuuJf kama wewe ni me pole ila mnaringa wanaume wa humu basi
Nashukuru sana mkuu kwa unabii huu..Atarudi, kaa tu hivyo utashangaa anarudi mwenyewe. Wanawake wa hivyo wanajulikana, wanayumbishwa sana ila huyu atarudi tu.
Sawa nimekuelewa mkuu.Hoja yangu usibebe mizigo usiyoiweza bure wakati hata ukifa watu wataendelea na mishe zao
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
😁 jina linaanza na J kutoka mkoa unaoanza na MSio Mimi kabisa
Acha tu mkuu.Pole sana,tunda limeponyoka kimasihara[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
😂😂😂😂😂🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌🙌Jf kama wewe ni me pole ila mnaringa wanaume wa humu basi
Maisha ni lazima yaendelee.
Nakiri kwamba nilikuwa malaya sana zamani lakini nikaamua kubadilika baada ya kugundua kwamba mahusiano mengi kwa wakati mmoja yanapoteza muda, rasilimali fedha, yanadhoofisha mwili, akili n.k.
Nimekuwa kwenye mahusiano serious kwa takribani mwaka na nusu na Mwl mmoja wa Shule ya msingi. Mpole, msikivu, mcha Mungu, mnyenyekevu, sio mbinafsi, mshauri mzuri na zaidi ya yote amekuwa mfano bora wa mama wa familia. Nikaamua kumpenda kwa dhati. Nikawaambia hadi ma-x wangu. Nikawa najiachia nae, nikamtambulisha kwa baadhi ya wana.
Nikakaa kitako na Baba nipeleke barua ya posa, binti akaridhia. Barua ikaandikwa, mwanangu mmoja ambaye ameshaoa akakubali kuwa mshenga. Barua ilikuwa ipelekwe tangu j5 ya wiki iliyopita ila nikapata dharura tukaahirisha. Ilikuwa baada ya kupeleka posa ndio nikamtambulishe home.
J'mosi ya juzi akaanza kubadilika kuanzia kwenye mawasiliano na kila kitu. Jana nampigia simu aniambie barua tupeleke lini, akashtuka kama hajui kinachoendelea! Akajibu nisubiri kwanza, mara anaomba tupeane muda kuna mambo ajiridhishe!
Nikajiongeza, nikamwambia muda siwezi kumpa kwasababu tulishalizungumza hili. Aseme tu kama anadhani hatuwezi kuwa pamoja tena nitamuelewa. Akasisitiza nimpe muda! Nikamjaribu kwa kumwambia tuachane ili tusipotezeane muda (kumbuka hapa nilikuwa namjaribu); ili nione anawaza nini.
Lahaulaa, akasema 'SAWA'. Nikaishiwa nguvu. Nilikuwa barabarani nikasimama kwanza kwasababu nilipatwa na wenge nikahisi naweza kusababisha ajali.
Ina maana ile kupenana muda ilikuwa ni gia tu, alishaamua tuachane. Sikumtafuta tena tangu jana na yeye kakaa kimya mpaka muda huu!
Huyu ni msichana aliyeniaminisha kwamba hawezi kuniacha. Kwamba hata nikijaribu kumuacha atafanya jambo baya (ni kama alikuwa anatishia kujiua).
LAWAMA ZANGU ZOTE NAZIELEKEZA KWA RAFIKI YAKE MWENYE JINA LINALOANZA NA HERUFI 'J', ANAYEISHI MKOA UNAOANZA NA HERUFI 'M'. Mpenzi wangu alikuwa anamsikiliza sana, na mara nyingi wamekuwa wakiniongelea, nina kila sababu ya kuamini kwamba ushauri wake umechangia kumfanya mwanamke wangu afikie uamuzi huu. Huyu dada yeye kaolewa, leo kaamua kumfanyia figisu rafiki yake! We dada wewee....
Biblia imesema tushukuru kwa kila jambo. Pengine kuna jambo Mungu ameniepusha nalo. Naumia ila najikaza.
huyu inabidi aseme...na bado hajasema 😁
Rafiki yangu nipigie basi walau uuponye moyo wangu. Tusahau yaliyopita, nitengeneze kwako sasa.I hope huyo J sio Joannah Mimi wa Morogoro..... Anyways be strong,kila jambo lina sababu zake.
Hayo ni makosa makubwa sana kwa mwanaume mkuu.Maisha ni lazima yaendelee.
Nakiri kwamba nilikuwa malaya sana zamani lakini nikaamua kubadilika baada ya kugundua kwamba mahusiano mengi kwa wakati mmoja yanapoteza muda, rasilimali fedha, yanadhoofisha mwili, akili n.k.
Nimekuwa kwenye mahusiano serious kwa takribani mwaka na nusu na Mwl mmoja wa Shule ya msingi. Mpole, msikivu, mcha Mungu, mnyenyekevu, sio mbinafsi, mshauri mzuri na zaidi ya yote amekuwa mfano bora wa mama wa familia. Nikaamua kumpenda kwa dhati. Nikawaambia hadi ma-x wangu. Nikawa najiachia nae, nikamtambulisha kwa baadhi ya wana.
Nikakaa kitako na Baba nipeleke barua ya posa, binti akaridhia. Barua ikaandikwa, mwanangu mmoja ambaye ameshaoa akakubali kuwa mshenga. Barua ilikuwa ipelekwe tangu j5 ya wiki iliyopita ila nikapata dharura tukaahirisha. Ilikuwa baada ya kupeleka posa ndio nikamtambulishe home.
J'mosi ya juzi akaanza kubadilika kuanzia kwenye mawasiliano na kila kitu. Jana nampigia simu aniambie barua tupeleke lini, akashtuka kama hajui kinachoendelea! Akajibu nisubiri kwanza, mara anaomba tupeane muda kuna mambo ajiridhishe!
Nikajiongeza, nikamwambia muda siwezi kumpa kwasababu tulishalizungumza hili. Aseme tu kama anadhani hatuwezi kuwa pamoja tena nitamuelewa. Akasisitiza nimpe muda! Nikamjaribu kwa kumwambia tuachane ili tusipotezeane muda (kumbuka hapa nilikuwa namjaribu); ili nione anawaza nini.
Lahaulaa, akasema 'SAWA'. Nikaishiwa nguvu. Nilikuwa barabarani nikasimama kwanza kwasababu nilipatwa na wenge nikahisi naweza kusababisha ajali.
Ina maana ile kupenana muda ilikuwa ni gia tu, alishaamua tuachane. Sikumtafuta tena tangu jana na yeye kakaa kimya mpaka muda huu!
Huyu ni msichana aliyeniaminisha kwamba hawezi kuniacha. Kwamba hata nikijaribu kumuacha atafanya jambo baya (ni kama alikuwa anatishia kujiua).
LAWAMA ZANGU ZOTE NAZIELEKEZA KWA RAFIKI YAKE MWENYE JINA LINALOANZA NA HERUFI 'J', ANAYEISHI MKOA UNAOANZA NA HERUFI 'M'. Mpenzi wangu alikuwa anamsikiliza sana, na mara nyingi wamekuwa wakiniongelea, nina kila sababu ya kuamini kwamba ushauri wake umechangia kumfanya mwanamke wangu afikie uamuzi huu. Huyu dada yeye kaolewa, leo kaamua kumfanyia figisu rafiki yake! We dada wewee....
Biblia imesema tushukuru kwa kila jambo. Pengine kuna jambo Mungu ameniepusha nalo. Naumia ila najikaza.
Kwakweli..jamaa alikutunzia risiti [emoji16]
unajuwa ulikuwa legend, au ndo yale malipo ni hapa hapa duniani, unatumiaje moyo kwenye mapenziSawa nimekuelewa mkuu.
Yaaani watasema leohatimaye tumefikiwa 😁, unataka kuweka ushuhuda mkuu
Asante mkuu.Jf kama wewe ni me pole ila mnaringa wanaume wa humu basi
Nakupigia rafiki yangu.Rafiki yangu nipigie basi walau uuponye moyo wangu. Tusahau yaliyopita, nitengeneze kwako sasa.
Nashukuru sana mkuu kwa kunitia moyo.Hatimae ume graduate from heartbreak university with honours mkuu,you will never be the same again. Hao viumbe sio wa kuwapa umuhimu moyoni . Moyo una haki ya kuwa na stress za hela tu,kuupa stress za mapenzi ni kuuonea tu.
Hapo kwenye kumueleza historia yako yote kamanda uliuza ramani ya vita, uenda yeye alikuelezea historia yake feki/alikuuzia ramani feki ukajaaKabla sijaanza nae mahusiano nilishamuelezea historia ya maisha yangu na akakubali kunipokea hivyohivyo, akasema tusahau yaliyopita tugange yajayo kwasababu hata yeye alikuwa na past life yake ingawa haikuwa mbaya kama yangu.