Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Nimeishia uliposema "Kama"Mbona Kama nakufahamu ww jamaa[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeishia uliposema "Kama"Mbona Kama nakufahamu ww jamaa[emoji3][emoji3][emoji3]
NaamPM ipo Wazi mkuu?
Kuroga tena?Muda muafaka wa kuanza kuroga mtu..😂
Nakupa namba ya demu mkali wa kukuliwaza.Jamani nimeachwa na mpenzi wangu( girlfriend) ni takribani miezi miwili imepita, naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope
Namba yangu ni +255784130998 kwa ushauri
[emoji67]🦽[emoji23][emoji23][emoji23]nyoooo [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hapana ni kupigwa!Kuroga tena?
Msaidie mwamba, hata kumchatisha tu itafaa.....nyoooo 😆 😆 😆
Kidume mzima unalia kuachwa?? Acha kuaibisha malegend wewe.Si tulishakubaliana kuwa Mwanaume ukipigwa kibuti una mute au?!!.Jamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita.
Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha.
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope.
Napmba ushauri.
Fata huu ushauri utakusaidia sanaEpuka mazingira ya upweke, penda kujichanganya na watu jitaidi kujiweka busy, ondoa vitu vyake vyote uli yonavyo karibu yako, tambua ulikuwa maisha kabla yake na unatakiwa uwe nayo ata baada ya kuachana nae
Una ufala saaa weweUna umri gani na upo wapi?