Nitarudi tu!! ndiyo kawaida ya binadamu wote!kuwa mpole tu dadangu utakaa sawa. umikataa kupima π π lkn naona unaanza kurudi vizuri
He naona bado hujakaa sawa.Nitarudi tu!! ndiyo kawaida ya binadamu wote!!
Ila Nakushauri tu!! zako hizo za kidole shahada kunako naniliu jitahidi sana uache mkaka!! utanikimbuka!!! .
Jiue tu ili usiumie tenaJamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita.
Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha.
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope.
Napmba ushauri.
Jenga tabia moyoni mwako huyo ni mwanadamu mlikutana na ipo siku ataondoka, pia mwombe MAungu akusaidie kumsahau vilevile usifanye haraka kuingia kwenye mahusiano mapya jitathimini upya ulikosea wapi?. pia elewa kuumiza moyo ni sehemu yackujifunza ili kutengeneza mahusiano mapya yatatayokuja mbeleni, angalia kwa mtazamo wa hasi itakusainia zaidiJamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita.
Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha.
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope.
Napmba ushauri.
Kubali tu kama umeachwa na endelea na maisha mengine in addition tafuta mpenzi mngine maana njia ya kumsahau mpenzi wa zaman ni kutafuta mpenzi mpyaJamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita.
Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha.
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope.
Napmba ushauri.
Alikuwa na nini cha ziada hadi uchanganyikiwe hivo jamaniJamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita.
Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha.
Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope.
Napmba ushauri.
Ni kweli kabisa mkaka! Uko sahihi! Hujakosea!!He naona bado hujakaa sawa.
Na mwenye mizinga kama ya kakiNakupa namba ya demu mkali wa kukuliwaza.
Hahahahaaa unachoniacha hoi mie ni hii confusion yako yaani hili tatizo la 2mints in 2mints out inaonekana ni sugu kwako ona now umerudi kwa mustari kidogo lkn najua ukirudi tena ntakuona utavo changeNi kweli kabisa mkaka! Uko sahihi! Hujakosea!!
Kwa utaratibu huu!!! kamwe sinto na sinta kaa sawa. Narudia tena sijakosea......!!!
Japo najua mazoea yana tabu yake...utajitahidi utayasahau.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa namba tena..tunafanyaje hapo kwenye namba mkuu?
Kamliwaze mwenzio...Mapenzi yanavowatesa watu, mie nacheka mbavu sina khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]