Nimeachwa wadau baada kufulia … Sina hamu

POLE ILA INABIDI TUJIFUNZE MWANAMKE INABIDI AKUPENDE WEWE KAMA WEWE ANGALIA MARK ZUCKERBERG ANA MKE SIMPLE FROM CHINA BE UNAFIKIRI ZUCKERBERG AKUONANA NA Slay kwin havard?!!!aliwaona akawa ignore na hiyo ndio powerful mindset ndio maana young d be aliwaimba mademu wa ivyo makurumbembe hope umejifunza na pole
 
Mimi saivi natembea na SLOGAN YA GWIJI MWANAFA UNAOA LINI ?BADO NIPONIPO KWANZA ,UNASEMA,?BADO NIPO NIPO SANAA KATAA NDOA NI SLOGAN NZURI
 
Mwanaume linda uchumi wako kwa gharama yyt ile, wanawake Ni selfish sn[emoji4]
 
Nishajifunza vingi khs wanawake,

Ni hatar sn mwanamke akiuacha umefulia

Unaweza jitundika kitanzi Maana hata Ela ya kuopoa mrembo mwngn wa kupozea machungu ya kuachwa utakua huna.

Binafs najua IPO Siku ntafirisika,
Ila Sio nifilisike kisa kuendekeza wanawake

Naamini Mahusiano is something temporary, Sio yavuruge uchumi wangu afu yaniache solemba,

Nishaapa sifanyi investment na kidampa yyt wa mjini, ntainvest kwa mwanamke alonizaa TU (mama) na mwanamke nilozaa nae TU (wife) kwa ajili ya famu yangu.

Wengine waliobaki acha nilipie huduma TU kama mpita Njia, tutumiane kwa MDA, tukichokana tutemane njiani Kama BIGY G Kisha nipite hivi.
 
Part two
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…