Nimeachwa

Nimeachwa

<br />
<br />
ni uchumba stage,yeye anataka niende kwenye imani yake!

Mr Creative akoding to you wewe ni muumini strong ambae haukukubali kuyumbishwa kwenye imani yako,sasa kwanini uyumbishwe kwenye hisia zako?
move on jibaba!

Nafanana nae... Hebu kloro niunganishie basi...nshaanza kung'ata vidole ujue...

wewe si ulitolewa mahari na Uporoto?
 
Pole sana. Nakushahuri ujitafutie mkatoliki mwenzako kupunguza risk za kuachwa tena.
 
ni muda kama wa miezi miwili,suala la imani alilingumzia yeye alitaka niende kwenye imani yake ambacho ni ki2 kisichowezekana au wewe unaonaje?
Kumbe yeye ni mpentekoste toka mfahamiane! na umesema mlishalizungumzia hilo, mbona hiyo ni kawaida tu kaka? muda wenyewe ni miezi 2 halafu unachanganyikiwa nini hapo? ebu muombe Mungu akupe mwenzi wako wa maisha na yeye Mungu atampa wake. Usihame dhehebu kisa mke, baadae yatakuja kukushinda halafu sijui utamlaumu nani. Ila kama unasikia kutoka moyoni mwako kufuata imani yake wewe ifuate lakini usiwe na lengo la kwenda huko ili muoane, kumbuka tu kwamba mke mwema mtu hupewa na Bwana
 
ni muda kama wa miezi miwili,suala la imani alilingumzia yeye alitaka niende kwenye imani yake ambacho ni ki2 kisichowezekana au wewe unaonaje?

miezi miwili peke yake umeshaanza kuchanganyikiwa?........duh...hapa kuna tatizo juu ya tatizo.....

 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
okoka na wewe muende sambamba
<br />
<br />
halafu baadae mje mponde kabadili dhehebu kisa ninilihu.

ushauri huo inahitaji breki kwanza..kabla ya kuufuata..
 
anza, tena huwa hawakubali kubadilika, nimeona ndoa ya watu wazima ikisambaratika kwa ajili ya madhehebu.
 
huyo ana lake jambo maana hapo haiwezekani akasema dini ndo kigezo kwa kwa hapo wote ni wakristo ... omba mungu akupatie aliye mwema na shukuru mungu kwa huyo kukukimbia
 
hiyo kitu iliwahi kunikumba na mimi.....sababu ilikuwa ni hiyo hiyo kama yako ..........nilistuka kweli..nikampa afikirie lakini hakuna.....basi nikamwambe siwezi kulazimisha nikamshukuru kwa yote nikaanza moja......

baada ya kama mwaka mmoja amerudi tena na kusema sasa dini sio kigezo tena nikasema haiwezekani maana nilikuwa tayari nimefanya maamuzi magumu juu yake...nilikataa kabisa kurudiana.......akalazimaisha wee nikamwambia kwani Mungu wako amesemaje juu yangu maana ni huyo huyo alikwambia uniache leo kakwambi unirudie? ...akasema sio Mungu ila ni shetani alimpitia....baada ya kusema hivyo nikamwmabia basi rudi ujadili na shetani huyo kwa nini alitoka huko alikotoka na kuja kukupitia wewe na kukupa mawazo hayo.......mpaka leo sijawahi kumuona akirudi nadhni mjadala na sheta wake bado ni mkali sana..........

so mkuu achana nae huyo usilazimishe......jikalie na tafuta mwingine
 
tumia u-creative wako..you are back to square one!!
 
kisa mi ni MKATOLIKI yeye ni mpendekoste(Mlokole) naomba ushauri kwani psychologically nipo abnormal

Ukiona hivyo ujue ulipata mlokole ambaye "amefurika utakatifu kuzidi pengine hata wa Bwana yesu" maana kuna walokole ambao wamepitiliza. Ambacho angefanya ni kuwa angekuchukuwa kama kondoo akakufundisha hicho unachomis then ukawa na standard hizo anazotaka. Huyo angekusumbua sana maana ni aina ya walokole wale ambao wameacha kusoma maneno ya Mungu bali wanatumia akili zao. Tafuta mtu mwingine mwache akaruke pambio!
 
Kama vipi nenda umwambie umeoteshwa mrudiane then fuata hayo mashart kwani nini bwanaa, baada ya malengo kufanikiwa traaatiiibu unatinga kwa paroko.
 
hakukupenda huyo... wakati mwingine ukiachwa shukuru.... huwezi jua umeepushwa na nin?
 
<br />
<br />
ni uchumba stage,yeye anataka niende kwenye imani yake!

sasa na wewe kama unampenda kweli kwa nini usikubali kwenda kwenye imani yake? Hapo ndo wanaume mnaniacha hoooi, jamani, mnayopenda wenzenu tuwatendee nyie mkiambiwa kuyatenda back, mnaruuuka! Haya sasa love has to trade in both direction, one way Love is indeterminate and unstable, will never suffice the two in pretending to be in love.
 
Back
Top Bottom