Flamegood
Senior Member
- Oct 27, 2018
- 129
- 293
Mahali ninapofanyia shuguli zangu kuna mkaka kapita na baiskeli ni hawa wanaouza sumu za panya "habari, kuna dada nimepishana nae hapo nyuma kaniambia nikuletee sumu ya panya" me nikashangaa sana He!
Nikamuuliza kwani huyo dada yupo wapi akajibu nimepishana nae alikuwa anaelekea upande uleee" (alinionesha uelekeo), me nikamjibu "Hapana, labda umekosea mahali na si hapa maana mimi cjaagiza sumu" kijana akaondoka zake kwenda kuuliza pengine.....
Je, ni kweli kijana aliagizwa kwangu au ni mbinu yake ya kibiashara? Na kama aliagizwa kwangu kweli huyo dada ana maana gani? Au alikosea mahali alipoagiziwa aipeleke?
Nikamuuliza kwani huyo dada yupo wapi akajibu nimepishana nae alikuwa anaelekea upande uleee" (alinionesha uelekeo), me nikamjibu "Hapana, labda umekosea mahali na si hapa maana mimi cjaagiza sumu" kijana akaondoka zake kwenda kuuliza pengine.....
Je, ni kweli kijana aliagizwa kwangu au ni mbinu yake ya kibiashara? Na kama aliagizwa kwangu kweli huyo dada ana maana gani? Au alikosea mahali alipoagiziwa aipeleke?