Nimeahirisha kutafuta mchumba.

Nimeahirisha kutafuta mchumba.

M2mishi

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
715
Reaction score
268
Napenda kuwashauri wote mnaotafuta wachumba jf ni ngumu sana kumpata m2 unae weza kwendana nae akili.
Wengi wao tayari wameshaumizwa hivyo kila mtu wanamchukulia na kumuhisi kama anaweza tenda kama alio wahi kutendewa huko nyuma
 
Usemi usemao 'actions speak louder than words' nimegundua una ukweli kwa maana mambo unayo fanyiwa tu we mwenyewe unaona kabisa kwamba hapa ni meingia choo cha JWTZ
 
Aisee pole sana..! Ila mimi nimempata mpenzi wangu humu humu JF..!
 
Basi unabahati kaka na ni jambo la kumushukuru Mungu.
 
Pole mkuu, mimi mbona nimempata humuhumu jamvini!?
Acha uoga wewe, jimwage tu.
 
Hayaaaa unatukatisha tamaa tunataka kujaribu...
 
Sio kuwakatisha tamaa mkuu. Kwa sababu kuna walio nitia moyo nitajiachia by the next time.
Pengine niliangukia pua.
Nitajiachia kwa mara nyingine nione bahati yangu wakubwa.
Nashukuru sana kwa kunitia moyo
 
Back
Top Bottom