DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Mzigo huo apo mkuu. Mcheki huyo jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzigo huo apo mkuu. Mcheki huyo jamaa
Unanunua plate number?Leo nimekutana na mtu nikamwambia nina M8.5 na natafta kununua ist mkononi namba D, jamaa akaniambia kuwa sitaweza kupata. labda kwa uzoefu wenu nijuze zaidi kuhusu bei yangu hiyo na gari hilo, je nitaweza kupata au?
USINISHAURI CHAGUO LA GARI LINGINE NAYAJUA YOTE NA NIMEULIZIA IST.
Niliwahi kuwa na mil sita yangu. Nilisoma nayooooo baadae nikainunua kiwanjaM8 gari ipo sema hyo 2m ili kufikia 10m ya dalali... madalali sio watu wazuri hata kidogo
Kwa hiyo anunue namba A kwa m 8? Itakuja kumpa shida siku akitaka kuiuza..Unanunua plate number?
Ulitaka gari gani mkuu? Maana hiyo hela hata ist namba BNiliwahi kuwa na mil sita yangu. Nilisoma nayooooo baadae nikainunua kiwanja
Mzigo huo apo mkuu. Mcheki huyo jamaa
NIMEPATA CHUMA IMENYOOKA KWA M10 TU, SIJUTII KITU IMESIMAMAM VZURI SAMA YANILeo nimekutana na mtu nikamwambia nina M8.5 na natafuta kununua ist mkononi namba D, jamaa akaniambia kuwa sitaweza kupata. Labda kwa uzoefu wenu nijuze zaidi kuhusu bei yangu hiyo na gari hilo, je nitaweza kupata au?
USINISHAURI CHAGUO LA GARI LINGINE NAYAJUA YOTE NA NIMEULIZIA IST.
Kula maisha mwalimu ila kua mwangalifu na ndoa yako mana watoto wazuri wa Igunga utawakamata sana.Nimepata ist safi namba DR, kwa 10m.. iko vzuri kabisa imetembea km chache, na well maintained.. naweza kusema am enjoying
Mzigo huo apo mkuu. Mcheki huyo jamaa
M8 gari ipo sema hiyo 2m ili kufikia 10m ya dalali... madalali sio watu wazuri hata kidogo