Nimeambiwa kwa 8m sipati ist used. Plate "D"

Unanunua plate number?
 
NIMEPATA CHUMA IMENYOOKA KWA M10 TU, SIJUTII KITU IMESIMAMAM VZURI SAMA YANI
 
UNAPATA AISEE, mimi nilinunua yangu million 7 na laki 9 mwaka jana.

chamsingi tuliza akila utapata.

ila jf kuna mijitu inajikuta inajua kila kitu yani mtu anacomment kujifanya anajua magari afu unakuta hana hata toroli
 
Nimepata ist safi namba DR, kwa 10m.. iko vzuri kabisa imetembea km chache, na well maintained.. naweza kusema am enjoying
Kula maisha mwalimu ila kua mwangalifu na ndoa yako mana watoto wazuri wa Igunga utawakamata sana.
 
Mzigo huo apo mkuu. Mcheki huyo jamaa

aliyepiga hii rangi mchovu sana,kuna muhuni mwenge pale anajiita mugoo mapolish jamaa anakupigia rang had unaogopa kitu inawakaaa km mjapani,Moshi pia kuna Dulla Auto garage fundi saana huyu muhuni kwenye rangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…