Kaka nimepitia baadhi ya juzi zako unasumbuliwa na matatizo mengi kiasi lakn naomba nikushauri kama utafata ushauri wangu utapona kabisa tatizo lako
Tumia kitunguu saumu chukua punje za kitunguu saumu asubuhi meza punje 5 au 4 kwa Kutafuna then unatumia na maji kusukumizia
Mchana tumia mchana kiwango hiko hiko baada ya kula na tumia usiku baada ya kula
Kitunguu hutanua mishipa ya Damu na kitunguu pia hutibu matatizo ya Figo na ukawa sawa kabisa, kitunguu hutibu pia vidonda vya tumbo,husaidia pia kuondoa msongo wa mawazo, kitunguu huondoa cholesterol,mafuta yaliyopo kwenye mishipa ya Damu huondoka yote,hutibu pia UTI, hutibu pia Malaria sugu , matatizo ya moyo,bawasili
Kingine jitahidi Ufanye Mazoezi ya Mwili utoe jasho lakutosha mwilini,punguza Uzito , jitahidi Sana uwe unakuwa karibu na mungu wako usihambuliwe na mapepo mabaya,uchawi,majini na magonjwa nenda msikitini au kanisani hata kwa watumishi
Yote hayo bila kusahau kuacha kutumia mafuta ya korie, achana kabisa kula chips,acha kula vyakula vya wanga, asubuhi usile ukashiba kula kidogo tu,acha Matumizi ya sukari ni hatari ,acha Matumizi ya vyakula vya Ngano ni hatari si salama , Usitumie vinywaji vya viwandani kama soda na pombe nk.
Badili mfumo wako wa Maisha, maradhi hayatokwisha ukikaidi
Ukiuthamini ukale,Usasa hautokumaliza[emoji1621]
View attachment 2739880View attachment 2739881