Nimeambiwa Simba SC wakitumia Low Block na Counter Attack Wydad Casablanca FC anatupeleka Semi Finals CAFCL

Nimeambiwa Simba SC wakitumia Low Block na Counter Attack Wydad Casablanca FC anatupeleka Semi Finals CAFCL

Wahakikishe yule jezi namba Tano(5) wa WAC hafanyi chochote cha maana, itakuwa ngumu ila naamini Simba ina wachezaji wanaojitambua, yule asije akafanikiwa kupiga pasi za maana mbele karibu na boksi yatakuja maafa makubwa tena nyumbani kwao hiiiiii, rafu za uzembe na zile za karibu na boksi ni hatari wachezaji waambiwe hili, tshabalala kama atakuwepo awe makini sana ule upande wake tena naamini deadly passes zitatoka kati zitamiminika sana upande wake, ni suala la kujitoa zaidi uwanjani na kufia huko ndani na cha mwisho nadhani mazingira ya uwanja wanayafahamu au washaambiwa tayari jinsi vagi la uwanjani (mashabiki), wasiwaogope "ultras winners" kwani wao ni kawaida kushangilia mwanzo mwisho, ni suala la kujitambua na kujituma kwani inawezekana hiyo siku hata sauti au maelekezo ya kocha kwenye mechi wasiyasikie kutokana na sauti za ultras wao kuwa juu Hadi majengo ya lodge au hoteli zilizo karibu na uwanja kutikisika vibaya mno...
 
Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?

Karibuni wana Simba SC Wenzangu wote hapa JamiiForums tulijadili hili Kiufundi na tafadhali kama unajijua Wewe ni Shabiki wa Mganga Kasema Jini linataka Damu za Wanachama Wetu 500 Tu Ili Tushinde kwa Kishindo Jumapili FC usipoteze muda wako Kuchangia au Kushauri chochote kile kwani tunawajua kwa Unafiki Wenu na Kamwe hamtutakii mema.

Cc: SAGAI GALGANO
Tulicheza semi 1974, hatutaki utopolo hapa. Heshima kwanza!
 
Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?
1682528675227.png
 
Kabisaa na makocha wapange huu mfumo, 4-1-4-1
Yaan hapo waachezaji wakiwa na ari na morari mbna tunapitaa,

Kikubwa tuwe waangalifu kuepuka kona na fouls zisizo na mpango, yaan wachezaji wajue kuipambania team.

[emoji881] nguvu 1
Hallah [emoji3590][emoji833]
[emoji120][emoji120]
Mkuu hao WYDAD huo mfumo hawaufahamu au sio?
 
Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?

Karibuni wana Simba SC Wenzangu wote hapa JamiiForums tulijadili hili Kiufundi na tafadhali kama unajijua Wewe ni Shabiki wa Mganga Kasema Jini linataka Damu za Wanachama Wetu 500 Tu Ili Tushinde kwa Kishindo Jumapili FC usipoteze muda wako Kuchangia au Kushauri chochote kile kwani tunawajua kwa Unafiki Wenu na Kamwe hamtutakii mema.

Cc: SAGAI GALGANO
Kaka tz Kuna timu inayoabudu uchawi kama Simba?? Kutoka mbezi hadi temeke kinyumenyume ni uchawi bado ukaunguza uwanja wa watu ugenini na ukapigwa ya mbavu
 
Huyo jini mwambieni akafie mbele huko manina,hapo kwenye 4 1 41 ndo penyewe hapo,huo mfumo unaweza ukachanganyikiwa ukicheza nao,alipigika sana horoya na huo mfumo asee..[emoji109]
Usifananishe Waydad na vitu vya kijinga..!! Waydad anafungwaga ugenini halafu kwao anakutia nusu kaputi na kukutwanga kuanzia 4 kwenda mbele
 
Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?

Karibuni wana Simba SC Wenzangu wote hapa JamiiForums tulijadili hili Kiufundi na tafadhali kama unajijua Wewe ni Shabiki wa Mganga Kasema Jini linataka Damu za Wanachama Wetu 500 Tu Ili Tushinde kwa Kishindo Jumapili FC usipoteze muda wako Kuchangia au Kushauri chochote kile kwani tunawajua kwa Unafiki Wenu na Kamwe hamtutakii mema.

Cc: SAGAI GALGANO
Mfumo huo mzuri ila inahitaji pumzi ya maana maana kuruhusu counter attack ni rahisi zaidi. Ushauri wangu timu ijaze viungo kwaajili ya kuharibu movement za adui. Lakini pia kama kocha ataona inafaa Mzamiru, Kibu D na Putin kanute wacheze nyuma kidogo kuwasaidia mabeki huku wakifanya mashambulizi ya kushitukiza nasema hivyo ili mipira yote inapigwa na mabeki wakitingwa iokolewe haraka.
 
Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?

Karibuni wana Simba SC Wenzangu wote hapa JamiiForums tulijadili hili Kiufundi na tafadhali kama unajijua Wewe ni Shabiki wa Mganga Kasema Jini linataka Damu za Wanachama Wetu 500 Tu Ili Tushinde kwa Kishindo Jumapili FC usipoteze muda wako Kuchangia au Kushauri chochote kile kwani tunawajua kwa Unafiki Wenu na Kamwe hamtutakii mema.

Cc: SAGAI GALGANO
Ni mfumo mzur sana sanaaa.....wajuzi tusaidiane Kwa hii Simba yetu hatuwezi kucheza Kwa kuwakamia Hawa raja yaani tucheze man to man....
Tucheze Kwa kukamia ila Kwa akili sana maana waarabu Kwa kujiangusha........

Nimemkumbuka
Gennaro Gattuso
 
Coach nimemshauri kutumia Mfumo wa.

3: 4: 2. :1

MABEKI 3 wa kati.3

KENEDY.
Inonga.
Onyango

Wingback na Viungo. 4
Kapombe.
Shabalala.
MZAMIRU.
Kanute.

No Viungo wa juu. 2.
KIBU
Chama.

Mshambuliaji. 1
Baleke.

N:B. Nilitamani tuangalie pia vimo vya wachezaji warefu wangekuwa na msaada mzuri.
Sawadogo, Ottara, Boko
Lakini woote ni Mizigo.
Mkuu huwa unanifurahishaga sana comments zako, eti wooote mizigo[emoji3]
 
Back
Top Bottom