Ngahekapahi
JF-Expert Member
- May 8, 2012
- 553
- 367
Mkuu lakini kazi ya Medulla Oblongata ni kurekebisha/ratibu mapigo ya moyo, upumuaji na umengenyaji wa chakula kwenye utumbo, haina uhusiano wowote na magonjwa ya UCHIZI.Sometimes nazidiwa na wagonjwa, wananitandika ngumi kwenye medula oblangata.
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.