Nimeamini 100% Mwaka 2025 Rais ni Membe


Wewe lofa
 
Mna mpango wa kuiba kura Tena?
 
Membe wa
Membe asiyekuwa na mvuto wowote.
 
Nimemwambia 'Shingolo' kuwa mwaka 25 nitakuwa mbunge wa Chanika bila kampeni wala bila kupingwa, kama anataka kujaribu kina cha maji, yeye na timu yake hawatatoboa 2026. Ujumbe wangu ukaishia hapo.
Sina uhakika kama aliupata...
 
Nenda ukanye halafu ukachambe ndiyo ulalwe. Huna akili ya kujua mambo makubwa ya nchi
 
Atafutwe mwanaume wa shoka huyu mama amekua mswahili sana ,maneno mengi vitendo sifuri
 
Ni kweli kabisa, Mama kaingizwa chaka
 

Sometimes huwa mnawaza nini!! Mama samia anapiga miaka yake 10, Allah amjaalie afya njema

Bhujiku ng'waka
 
Huyo Babu unamaanisha Ombeni sefue!!?au!!?
Mwaka 2025 alikuwepo Farao asiyemjua Daudi but soon there after atakuwepo Daudi asiye mjua Farao. Its a game of thrones...
R u there?
Kumbe

Farao ata Riiipiiwa mapema eeh!!!?

Tusubiri

Kibwagizo;-

"Samiah jiuzulu Sasa nchi imeshakushinda,ulambaji asali umekuponza""!

""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!
 
Huyo Babu unamaanisha Ombeni sefue!!?au!!?
Kumbe

Farao ata Riiipiiwa mapema eeh!!!?

Tusubiri

Kibwagizo;-

"Samiah jiuzulu Sasa nchi imeshakushinda,ulambaji asali umekuponza""!

""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!
Huyo Babu unamaanisha Ombeni sefue!!?au!!?
Kumbe

Farao ata Riiipiiwa mapema eeh!!!?

Tusubiri

Kibwagizo;-

"Samiah jiuzulu Sasa nchi imeshakushinda,ulambaji asali umekuponza""!

""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!
I am not aware of that. The information 'I have'; The Ferroes will see their 90th birthdays...
 
Wewe ni Etwege tunakujua. Wiki iliyopita ulijisahau ukapost uzi wenye maudhui sawa 100% hapa jukwaa la siasa na jukwaa la MMU.
Bila shaka unakumbuka nilikushtua ukaufuta 🤣🤣
 
Wewe ni Etwege tunakujua. Wiki iliyopita ulijisahau ukapost uzi wenye maudhui sawa 100% hapa jukwaa la siasa na jukwaa la MMU.
Bila shaka unakumbuka nilikushtua ukaufuta [emoji1787][emoji1787]
Mbona unamchunguza sana kwan unamtaka?
 
Sasa we umeahirisha kazi yako ya uchakataji wa mbususu huna habari unaemtaja kwa sasa anamembeka na pesa ya Gadafi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…