Nimeamini Binadamu wa kwanza duniani alikuwa mweusi, lakini vitabu vya Dini vinachanganya. Je, ukweli ni upi hasa?

Nimeamini Binadamu wa kwanza duniani alikuwa mweusi, lakini vitabu vya Dini vinachanganya. Je, ukweli ni upi hasa?

vitabu vya dini hasa bible and quran katika eneo hilo vimekuwa doctored sana
yeah ni kweli, na ukihoji kwa watu wa dini unaonekana unataka kumpangia mungu na hakuna majibu ya maana watakupa.
 
Hao wanadamu wa Kwanza kwenye sayansi waliishi miaka mamillioni yaliyopita wakati kwenye Dini mwanadamu wa Kwanza (Adam) Hana Zaidi ya miaka 6000-7000.


Sasa hapo ndo ujiulize inamaana hapa duniani tumeishi miaka million? Kuna Historia ya vizazi miaka hata 20,000 iliyopita?
kuna upande lazima umetupiga na kitu kizito kichwani.
 
kuna upande lazima umetupiga na kitu kizito kichwani.
Kujibu hili swali tujiulize labda what is the earliest historical fact/evidence known to man aside from carbon dating...yaani ukiondoa hizi Za carbon dating(siiamini 100%),,Ni Historia ipi ya Kwanza inayomhusu binadamu tuliyonayo?
Nazojua Mimi
bible Ni 1400 BCE
Vedas Za wahindu Ni 1500BCE
Evidence ya watu wa sumerians huko Mesopotamia/Iraq/Kuwait Ni 4000BCE

Wewe unaijua yoyote ya zamani Zaidi?
 
Quran na bible ni delusion vitabu havina ukweli havielweki kama vinaenda mbele au vinarudi nyuma vipo stagnant maana ukisoma Quran na bible ni vituko sana
Eti katika bible kuna watu waliasi wakageuka chumvi wengine walitenda dhambi wakaunguzwa kwa kuangamizwa sodoma na gomora wakati dunia ya Leo watu wanatenda dhambi na mbona hakuna hizo adhabu why siku hizi hakuna utakuja kugundua zilikiwa stori za kutunga tu hazina ukweli wowote

Eti katika Quran kuna mtu anaongea na sisimizi wenyewe wanamwita Suleiman unajiuliza hivi hawa watu wanaoamini hivi vituko vya hadithi vya kutunga huwa wanawaza nini ? Kukubali vituko ambavyo mbona now days havitokei
mku
Kujibu hili swali tujiulize labda what is the earliest historical fact/evidence known to man aside from carbon dating...yaani ukiondoa hizi Za carbon dating(siiamini 100%),,Ni Historia ipi ya Kwanza inayomhusu binadamu tuliyonayo?
Nazojua Mimi
bible Ni 1400 BCE
Vedas Za wahindu Ni 1500BCE
Evidence ya watu wa sumerians huko Mesopotamia/Iraq/Kuwait Ni 4000BCE

Wewe unaijua yoyote ya zamani Zaidi?

Quran na bible ni delusion vitabu havina ukweli havielweki kama vinaenda mbele au vinarudi nyuma vipo stagnant maana ukisoma Quran na bible ni vituko sana
Eti katika bible kuna watu waliasi wakageuka chumvi wengine walitenda dhambi wakaunguzwa kwa kuangamizwa sodoma na gomora wakati dunia ya Leo watu wanatenda dhambi na mbona hakuna hizo adhabu why siku hizi hakuna utakuja kugundua zilikiwa stori za kutunga tu hazina ukweli wowote

Eti katika Quran kuna mtu anaongea na sisimizi wenyewe wanamwita Suleiman unajiuliza hivi hawa watu wanaoamini hivi vituko vya hadithi vya kutunga huwa wanawaza nini ? Kukubali vituko ambavyo mbona now days havitokei
mkuu hoja yako ni ya msingi sana inapaswa kufikiriwa mara mbili ila sasa ID ya jina lako ndo imenitisha
 
Je tuiamini biblia au sayansi ?
Sayansi inazungumzia watu kuzaliwa kwa kupitia reproduction in form of zygote ambapo lazima pawepo male na female, sayansi haizungumzii binadam alikuwepo karne fulan

But history tell us the existence of man through the theory called "Evolution of man" where by man was in a form of chimpanzee and he underwent gradually changes and became full man as seen today

Also Bible tell us, man was existed through the process called "Creation of Man" where by God created man, pale aliposema "...na tufanye MTU kwa mfano wetu"Mwa 3:... Hivyo bile inasema Mungu aliumba kwa mfano wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na upumbavu wa vitabu vya dini, utapotea ndugu,
ukwel ni huu kama vitabu vya dini vnasema uzao wa mtu mweus umetokana na ham mtoto wa nuhu ambaye ni mtu mweupe, je tangu lini mtu mweupe akaweza zalisha mtu mweusi bila ya muingiliano na mtu mweusi?

Kama adamu aliumbwa kwa udongo wa dunia, je inakuwaje kiumbe atokee mwnye rangi nyeupe? Em jarbu hata kwako tengeneza kinyago kwa kutumia udongo alafu utuoneshe uo weupe umetoka vip.

Historia inaonesha karibia kila sehem ya dunia asili yake ya wakazi wa zamani walikuwa jamii ya watu weusi, ambao walkuja kufukuzwa&kuuwawa baada ya wageni weupe kuja, je hawa wageni weupe kwao asili yao ni wapi?.

Kama bustani ya Edeni ilikuwa huko mnakoita mesopotamia then why hakuna ushahid wa mabaki yoyote ya wanyama,binadamu mmea wowote kuwepo yaan haimake sense eti eneo lililokuwa chanzo cha uumbaji leo hii ligeuke jangwa na halina ushahid wowote wa mimea na wanyama, tuaminije?

Weupe ama weusi ni asili ambayo ili itokee lzma kuwepo na carrier wa hizi DNA za race ndipo kiumbe wa rangi hiz atatokea, je , kwa huyo nam na watu weusi ilikuwaje wazaliwe kutoka ktk race ya watu weupe kama ktk historia za uumbaji wa vitabu vya dini hawataj kama kuliwahi kuwepo mtu mweusi? Ama mtu mweusi nae aliumbwa kwa material mapya ili itokee race mpya? Huu uongo wa dini mtauamini mpka lini?

Alafu huyo wamuitaye ishmael mzaz wa waarabu ilikuwaje akawa muarabu, wakat baba mweupe ambaye ni ibrahimu alizaa na kijakaz wa misri ya kale ambayo ni uzao wa Nam mtu mweusi sas how come muingiliano wa mtu mweupe na mweusi ulete mwarabu? Ama kusema ibrahimu alikuwa mwarabu na kijakazi mwarabu? Yaani tupingane tena kuwa misri ya hamu haikuwa ya mtu mweusi? Kama ni hivyo tukubaliane basi ishmael na wazawa wake walikuwa waafrika machotara na sio hao waarabu ama watu weupe.

Siku zote sayansi na dini vimekuwa vikipingana, sayansi inaeleza kuwa maisha yalianza zaman sana, lkn hizo dini ukipiga mahesabu unakuta zinataja umri wa maisha tangu uumbaji hayatimiz hata miaka elfu10 bila ushahid, je tuamini sayansi yenye facts na evidence ama dini isiyo na vithibitisho?

La mwisho kabisa, ktk historia ya dunia tangu mwanzo mpaka sasa, jambo kubwa na baya lililoikumba jamii kubwa na idadi ya watu wengi kufa ni Utumwa wa mtu mweusi, je hayo maandiko yenu na dini zenu kwanin yameshindwa kulitaja hili jambo basi hata kuonya ama kutabil ama hata kulitolea ufafanuzi tu dini zimeshindwa je huo sio ubaguzi?

Na huyo Mungu wa hizo dini tajwa kwanini aliamua kutumia Negative way ya kusambaza imani yake kupitia mauwaji yakutisha na ushenz wa kila aina, je huyo Mungu wa hzi dini hakuwa na upendo kwa mtu mweusi mpka awatume wajumbe toka mbali bila mateso, ama kuwatumia hata manabii weusi kuwaelimisha wafrika wenzao bila mateso waliyopoitia babu zetu?.

Dini zote ni uongo, elimu ya historia ya dunia ni uongo mtupu.

Mungu wa dini hayupo na hatowai kuwepo
 
Hawa wazungu wanalijua ilo ndo maana kila siku wako busy kuhakikisha Waafrika wanaangamia by any means
 
Religion is Opium
Naamini katika Science kwenye majibu yenye ushahidi na data
Kuliko hearsay za dini!
science gani unaamini kuliko dini mkuu
Au hii yenye assumptions kibao
Naomba wanasayansi mtengeneze mtu wenu apumue tuone
Sayansi hii inayoongelea revolution ya miaka mamilioni , ambayo hakuna atakayekuwepo kuprove chochote
 
science gani unaamini kuliko dini mkuu
Au hii yenye assumptions kibao
Naomba wanasayansi mtengeneze mtu wenu apumue tuone
Sayansi hii inayoongelea revolution ya miaka mamilioni , ambayo hakuna atakayekuwepo kuprove chochote
unaota wewe mwili wenyewe umeundwa Kwa mfumo wa mahesabu na ni sayansi pure
Vipi kuhusu mpangilio wa DNA?
Unatakata kunambia hapa dini iliumba mtu?
Acha viroja Kila kitu ukionacho duniani na angani kimeundwa kimahesabu na sayansi kubwa,
prove me wrong!
 
unaota wewe mwili wenyewe umeundwa Kwa mfumo wa mahesabu na ni sayansi pure
Vipi kuhusu mpangilio wa DNA?
Unatakata kunambia hapa dini iliumba mtu?
Acha viroja Kila kitu ukionacho duniani na angani kimeundwa kimahesabu na sayansi kubwa,
prove me wrong!
hiyo sayansi ya kuumba si ya kibinadamu mkuu

zaburi 139:13-14​

Maana Wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu, Uliniunga tumboni mwa mama yangu. Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana
 
unaota wewe mwili wenyewe umeundwa Kwa mfumo wa mahesabu na ni sayansi pure
Vipi kuhusu mpangilio wa DNA?
Unatakata kunambia hapa dini iliumba mtu?
Acha viroja Kila kitu ukionacho duniani na angani kimeundwa kimahesabu na sayansi kubwa,
prove me wrong!

Kwahiyo ukiongelea uumbaji unaongelea sayansi na siyo Mungu?​

Mwili umeumbwa na siyo kuundwa

Zab 139:13-14 SUV​

Maana Wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu, Uliniunga tumboni mwa mama yangu. Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana
 

Kwahiyo ukiongelea uumbaji unaongelea sayansi na siyo Mungu?​

Mwili umeumbwa na siyo kuundwa

Zab 139:13-14 SUV​

Maana Wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu, Uliniunga tumboni mwa mama yangu. Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana
unajidanganya na hekaya za kiyunani na kiebrania
Kwa taarifa Yako "Binadamu'' aliundwa maabara na
" Watu'' walitokana na Nature
Kiurahisi zaidi ni kwamba
Watu walitokea zamani Sana Kwa evolution from primitive to homo sapiens
Baadae Kuna viumbe kutoka nje ya mfumo wa Nyota yetu viliingia duniani na kumtengeneza Binadamu awe na mfano na mtu wa Asili wa Dunia hii ndio hao wakuitwa Caucasians na jamii zao na ndio maana wazungu walizuka tu ghafla duniani hao ni cloning project
Kwahiyo Kwa kujua tu mkubwa walikuletea dini kukupumbaza mwafrika usijue historia ya Dunia hii na wamefanikiwa kuwateka wengi na hapa Ili kudhibitisha Hilo nasubiri povu na sintofahamu!
😁😁😁
 
Back
Top Bottom