Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Nimefunga lakini kuna vijana wengu wamepoteza ajira.
Mpaka kuna mmoja nasema huyu isijetokea sababu ya stress akarudia mambo yake ya ajabu.
Alikuwa drug addict baada ya kutoka sober akapata ajira hapa anajikimu na kazi yake anaipenda.
Haya sasa hivi hana kazi ile sh 2 aliyokuwa anaipata tena hana.
Sijui itakuwaje only God knows.
Hatari sana hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili balaa ni suala la how long will the crisis exist

BUT

Every body will experience the pain

Walianza mashirika ya ndege

Wakaja makampuni ya bahati nasibu

Wakaja sekta ya utalii na chain yote

Sasa ni ma hotel ya ndani na waendesha shughuli za masherehe

Wasanii, Wanasoka (hasa hasa Ulaya) wameanza kuumia (japo wao wana saving)

Wakati huo huo wajasiriamali wadogo wadogo kama wale wa minadani n.k.

Sekta binafsi kama shule binafsi na staffs wote, vyuo binafsi, daladala n.k.

Tutaenda na mwisho watumishi wa Serikali wanaweza kuambiwa wapunguziwe % flani ya mshahara

Wenye nyumba za kupanga nao wameanza kuambiwa wawe wavumilivu kwenye kukusanya kodi

Hata hao wa hardware na wengine ambao kwa sasa wapo stable wataumia maana uwezo wa watu kununua utapungua, na vipaumbele itakuwa mahitaji ya msingi kama msosi ambapo watu watakuwa hawana hela za kununua

Najaribu kuwaza, mwakani tunaweza tusiwe na wanafunzi wa kidato cha kwanza, cha tano na wanafunzi wa mwaka wa kwanza chuoni



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basically, hakuna ambaye hakuathiliwa na Corona kwanjia moja au nyengine ukiufatisha mnyororo wa thamani katika sector/Industry tofauti tofauti ila kuna walioathirika zaidi pia.

Corona imeathiri kwa aina mbili, wale walikuwa Field tiali ndio kama amu na wale walikuwa na mpango wa kuingia Field kwamaana imeathiri PLAN nyingi sana walizopanga watu.
 
Mimi nimekimbia ofisi juz kat wamepiga mnada furniture za ofis yangu wateja wangu wengi ni mashule na makampuni ya utalii
Pia niliagiza mizigo china imekwama uko tangu february ndugu mteja anataka refund alaf mkulungwa niko juu ya mawe balaa
Yaan kua CEO wa vikampuni uchwara ni stress balaa kuitwa tapeli nje nje yaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…