Nimeamini Kanye West una nyota ya chips mayai

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Ama kweli ukiwa na nyota ya kupendwa dunia yote hii utaiona tamu balaa

Mwanamuziki ambaye pia ni mume wa Kim Kardashian na muanzilishi wa dini ya yeezus Kanye West ana nyota ya kupendwa kwa kweli daaah, yaaan amejiunga juzi tu instagram lakini mpaka sasa ana wafuasi millioni 1 sasa je hapo ni siku tatu je akifikisha mwezi itakuaje??


Sio hawa wasanii wetu hawa wengine mpaka leo hata wafuasi millioni moja hawajafikisha ukiangalia wana miaka kibao ndani ya insta








 
Mkuu hua wananunua followers Twitter...service ya kununua followers ipo official kabisa...Kanye West as a person is a disgrace to humanity,ila as an artist is the best...
si kweli.. hiyo huduma ipo ila kwa the big artist kama kanye west watu humfuata.. wanaonunua ni watu wa habari, bloggers etc
 
followers wanauzwa kama hujui..af na utundu upo wa kimtandao.
 
Kwa character ZA kanye hawez kununua follower... ana base nzuri

Hamna anaejua for sure 100% kua kanunua au ni geunine followers wake,wote tunabuni tu,mpaka yeye mwenyewe a-confirm...

Kwa 1m bado ni very small kwa mtu ambae ni global star,anajiita worlds hiphop power broker,ila simuamini,he is overating himself
 
Mkewe ana mazombi 85million......sasa thru mkewe unaweza shangaa mumewe akawapata mazombi wengi kwa siku chache zijazo.
Daaaah eti mazombi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
How's he a disgrace?

He has no respect for people esp women....his arrogance is unheard of mzee...refer interview yake na Sway..

Sikuona maana ya ku-rant against a defenceless little girl like Taylor Swift mbele ya kadamnasi na hakua na kosa,angewatukana MTV na sio dada wa watu...

Au kama angeweza ange-rant mbele ya street bangers kama Game tuone..the dude is useless
 
Jigga!last yr kwenye kumbukumbu ya Michael Jackson alijunga IG ndani ya siku moja alikua na followers 1m kesho yake akajitoa IG

Wenzetu wana fan base kubwa ya dunia nzima ndo maana!

Jigga is the God MC...very likable guy...JayZ sio wa mchezo,Kanye West kufika his legendary status sidhani,asahau tu...

Kanye is popping now,ila sio kiivyo...Drake akijitahidi anaweza kufika level ya G.O.A.T ya Jay-Z...

Ila 17 smash albums,Jay-Z is ridiculously nice MC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…