Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,689
- Thread starter
- #21
Unqtaka mama apande gari ili pesa ziyayuke enhe?
Ukitaka kujua watu wanavyoish mbona utajichosha tu
Whats tha point kuwa na mali nyingi kama ni hvyo ?? Migari yote ya kazi gan kama hamna ma dereva ?? We unavyowahi kuamka asubuhi na kwenda mzigoni, ukiulizwa kinacho kufanya ufanye kazi kwa bidii, utajibu nini na kwa ajili ya nani ?? Wisen up bro.