Nimeamini kuwa Simba SC si 'wa kimataifa'

Mh kwan jana MK-hata yake magoli yake ya kuotea hakupata hata moja?,maana jamaa kwa kuotea mmh n hatari

Sent from Nokia 7 Plus
 
Ukianza kushabikia mpira uzeeni ndio matokeo yake haya.
Shukuru Simba bila Simba usingeandika huu uzi.
 
Ukianza kushabikia mpira uzeeni ndio matokeo yake haya.
Shukuru Simba bila Simba usingeandika huu uzi.
Mkuu,Nina uhakika haunishindi kuhusu Lini Mimi na wewe tumeanza kushabikia au kufuatilia kandanda. It has been all-my-life sport!
 
As Vita kashinda mechi gani ugenini au wawe sio mfatiliaji wa Mpira?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ww ni punguwani....na inaonesha hujui unachokiongea, nitajie kwenye kundi D ni timu ipi imeshinda ugenini? Tumia kichwa na akili kuwaza usitumie makalio
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wake Barcelona, man city, real Madrid.....nk kwa #mchina hatoki mtu. Mmmmmh sorry kwa #mkapa (manara's voice )
 
Bwana mselwa. Kwanza ujue ili upate tiketi ya kwenda robo fainali una itaji point 9tu.

Sasa nakupa darasa. Simba ina mechi 1 mkononi tena ya nyumbani. Tuache ushabiki wa yanga tuongee ualisia rekodi ya simba katika hatu kabla ya kuingia makundi hata makundi haijapoteza mechi hata 1 ya nyumbani iyo ni advantage kubwa kwa simba.

16/3/ sio mbali mtakimbiana vita ataitambua simba kama alyaly alivyojuta kuifahamu. Nimwiko simba kushindwa nyumbani. Jikiteni kwa KMC Leo na ubingwa tunakuja kuubeba vyura nyie.
 
Mkude hachezi mechi ijayo...Yule Fabrice Ngoma wa AS Vita atatawala sana pale kati..
 
Ila wa Al Ahly wa chini sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usikariri, maana ile ni sawa na bunley kuifunga man city ila levo zao ni tofauti mno......bila shaka jana uliona mechi ya vita na hao alhly jinsi vita alivyotawala mpira na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga.. tukubali ukweli kuwa soka letu bado lipo chini.sana.. zaidi.sana.lipo midomoni, magazetini, tv na.redio.. tuna safari ndefu sana..

Sent from my R8107 using Tapatalk
 
Mi nadhani soka la Africa haulitambui...Kila timu inakua Bora ikiwa nyumbani usiangalie mechi ya Jana...Al Ahly alitufunga goli 5 ndani ya dkk 42 wakaja taifa tuliona walivyopoteana...mpira Africa ni bado Tp mazembe alimfunga club Africain 8-0 lubumbashi baada ya wiki wanatoa sare 0-0 km mchambuzi wa mpira haiingii akilini forward iliofunga goli 8 ikashindwa kufunga hata goli moja au beki iliovuja kuruhusu goli 8 ikashindwa kuruhusu goli 8...kwaio lazma tujue Waafrica soka letu la mbinu mbinu na fitina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa hivi Simba amecheza mechi 5 za ugenini kwenye CAF champions league. Amefanikiwa kufunga magoli matano ya ugenini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…