Ila huyo huyo under dog umekalia kimoja mtani [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwahyo hamna jipya magulu baja nyie [emoji125] [emoji125] [emoji125]Underdogs wamechachamaa kwenye uzi huu wana jazba za ķufungwa
Tuache mkuu tupo busy tunajitaarisha na mechi ya vitaKatika michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,Tanzania inawakilishwa na klabu ya Simba. Jana,Simba wamehitimisha michezo yako mitatu ya ugenini/nje ya Tanzania/kimataifa.
Katika michezo yote mitatu kule DR Congo,Misri na Algeria, Simba imepokea kichapo. Imekandikwa jumla ya mabao 12. Simba haijapata hata goli moja kwenye michezo yote ya ugenini.
Kwa kuthibitisha kuwa Simba ni wa ndani ya Tanzania,imeshinda michezo yake miwili Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na imebakiza mchezo mmoja na AS Vita ya Congo tarehe 16/3/2019.
Kwa kukosa ushindi,sare au hata goli kwa mechi tatu nje ya Tanzania,nimeamini kuwa Simba si wa kimataifa. Yanga wanastahili kuitwa hivyo! Kufungwa kila mechi ya ugenini kutaipa vipi Simba nafasi ya kusonga mbele?
Sio lazima kuwa Simba watashinda kwa AS Vita, mechi itakuwa ngumu sana na tunaweza kufungwa.Bwana mselwa. Kwanza ujue ili upate tiketi ya kwenda robo fainali una itaji point 9tu.
Sasa nakupa darasa. Simba ina mechi 1 mkononi tena ya nyumbani. Tuache ushabiki wa yanga tuongee ualisia rekodi ya simba katika hatu kabla ya kuingia makundi hata makundi haijapoteza mechi hata 1 ya nyumbani iyo ni advantage kubwa kwa simba.
16/3/ sio mbali mtakimbiana vita ataitambua simba kama alyaly alivyojuta kuifahamu. Nimwiko simba kushindwa nyumbani. Jikiteni kwa KMC Leo na ubingwa tunakuja kuubeba vyura nyie.
Mkuu stick kwenye Siasa. Nafikiri mpira sio fani yako.Sawa mtani
Yanga are beggars.Beggars cannot be choosers.True, Simba are tourists
Bora tuwe waombaji , ndo maana Jana Ally Ally katupa lile goli, maana sie ni beggars na tunahitaji hata magoli pia tupeweYanga are beggars.Beggars cannot be choosers.
Mkuu hata All ahly akifungwa atavuka tu? Labda bahari ya Sham.Mkuu,kwanza naitwa Mselewa na si Mselwa. Pili,mmetia aibu kwenye mechi za makundi kutopata sare au goli ugenini. Tatu,mkulishatolewa mrudi kuchachisha viporo vyenu na ubingwa hampati. Hifadhi maoni yangu haya. Simba ikitoka sare na Vita,matokeo yoyote ya Waarabu yatawavusha Waarabu wote.
Umeanza vizuri lkn ulipoanza kuitukuza Yanga kuwa ndio wanapaswa kuwa wa kimataifa nikakushangaa!Katika michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,Tanzania inawakilishwa na klabu ya Simba. Jana,Simba wamehitimisha michezo yako mitatu ya ugenini/nje ya Tanzania/kimataifa.
Katika michezo yote mitatu kule DR Congo,Misri na Algeria, Simba imepokea kichapo. Imekandikwa jumla ya mabao 12. Simba haijapata hata goli moja kwenye michezo yote ya ugenini.
Kwa kuthibitisha kuwa Simba ni wa ndani ya Tanzania,imeshinda michezo yake miwili Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na imebakiza mchezo mmoja na AS Vita ya Congo tarehe 16/3/2019.
Kwa kukosa ushindi,sare au hata goli kwa mechi tatu nje ya Tanzania,nimeamini kuwa Simba si wa kimataifa. Yanga wanastahili kuitwa hivyo! Kufungwa kila mechi ya ugenini kutaipa vipi Simba nafasi ya kusonga mbele?
Hao wanaopata sare ugenini, walitoa sare pia nyumbani kwao. Kupata sare nyumbani na ugenini ni mbaya kuliko kufungwa moja ugenini na kushinda nyingine nyumbani. Ukipata sare home and away utapata point 2, wakati ukipoteza ugenini ukashinda home utapata point 3. Mkuu ungeendelea kujikita kwenye siasaNilitarajia ungeona soni kwa hizo sare za wengine ulizotaja wakiwa ugenini
Tofauti ya Simba na As Vita ni kwamba As Vita bado ana mechi moja ugenini. You know what am saying?!As Vita kashinda mechi gani ugenini au wawe sio mfatiliaji wa Mpira?
Sent using Jamii Forums mobile app
Point of correction. Simba inajiwakilisha.Hana Uzalendo Simba Inawakilisha Tanzania
Aongelee Siasa mpira na yeye ni sawa na kumwuuzia kipofu miwani.Umeanza vizuri lkn ulipoanza kuitukuza Yanga kuwa ndio wanapaswa kuwa wa kimataifa nikakushangaa!
Simba wamefungwa magoli 12 kwenye mechi 3 za CAF champions league, ukija kwenye ligi yetu Simba ndio wamefungwa mabao machache kuliko hao Yanga unaodai kuwa ni bora, sasa ubora wa Yanga uko wapi? Pili, hizo mechi za CAF, Yanga mwaka jana alishiriki mashindano mawili-CAF champions na Confederation, alishimda mechi ngapi uwanja wa Taifa? Alitoa sare ngapi uganini?
NB: Yanga aipigwa 6-1 huko Morocco!
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app