Nimeamini kuwa Simba SC si 'wa kimataifa'

Hata hujui nini sababu za timu,uwanja wa ndege au kitu kingine chochote kuitwa Cha kimataifa.wewe bush lawyer hivi uwanja wa kimataifa wa Julias Nyerere unaitwa International Airport kwa kuwa upo Kenya?

Mkuu usiumuulize maswali Magumu kama haya! Huyu Dada aliyeleta huu Uzi harudi tena hapa anauguza maumizi ya kupigwa kimoja na Lipuli bila ya hata kupakwa Lubricant.
 
Ulitisha kwa uchambuzi huo...... heko
 
Kula like 5 mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula 5 mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…