Nimeamini kweli Ligi yetu ni dhaifu, Club zetu zinatamba nyumbani ila nje ni aibu

Nimeamini kweli Ligi yetu ni dhaifu, Club zetu zinatamba nyumbani ila nje ni aibu

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Club zetu unaziona zinvyotamba kwenye ligi ya ndani, ukiwaona wachezaji wao wanavyoumiliki na kuuchezea mpira watakavyo utasema hii ni bonge la timu

, hata wasemaji na mashabiki wao utawasikia wakisema Madrid hapa anapasuka, aje Man City hapa anakaa, lakini zikivuka mipaka tena hapa hapa ndani ya Afrika tu ni kama kuku aliyenyeshewa,

Mechi tatu za hatua ya makundi lakini timu inashika mkia huku ikiwa imeambulia pointi mbili tu

Hii ligi kweli dhaifu
 
Club zetu unaziona zinvyotamba kwenye ligi ya ndani, ukiwaona wachezaji wao wanavyoumiliki na kuuchezea mpira watakavyo utasema hii ni bonge la timu

, hata wasemaji na mashabiki wao utawasikia wakisema Madrid hapa anapasuka, aje Man City hapa anakaa, lakini zikivuka mipaka tena hapa hapa ndani ya Afrika tu ni kama kuku aliyenyeshewa,

Mechi tatu za hatua ya makundi lakini timu inashika mkia huku ikiwa imeambulia pointi mbili tu

Hii ligi kweli dhaifu
Hata ligi ya uingeleza ni mbovu maana Man U na Newcastle wamemaliza wa mwisho kwenye makundi
 
Kwenye kila ligi duniani lazima ziwepo timu ambazo ni giant na middle table, mashindano unayozungumzia wewe kama yanavyojulikana Cafcl yanahusisha timu vigogo kutoka kila nchi hivyo usitarajie wepesi.
 
Kwani ndo.mara yako ya kwanza kuangalia cafcl, je hizo timu zetu hazijawahi kushinda mechi yoyote, au kufanya vizuri huko kimataifa?
 
Back
Top Bottom