Nimeamini kweli uchawi upo

Nimeamini kweli uchawi upo

mambio

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2017
Posts
2,668
Reaction score
3,428
Ilikuwa ni alhamisi wiki iliyopita nikiwa Mbeya uyole niliona kitu cha kushangaza. Leo nawaletea hapa.

Siku hiyo nikiwa stend uyole mbeya nikisubiri gari za kwenda Dar maarufu "hakuna kulala" nikiwa sina hili wala lile ghafla mama wa makamo kwa muonekano ni msafiri pia akawa analalamika kapoteza simu zake mbili
Inaonekana kibaka alimkwapulia kutoka ktk mkoba wake, Ila hakuna aliyejali wala kumzingatia.

Mara mama akaomba aoneshwe sehemu kilipo choo. Baada ya kutoka chooni karudi kakaa palepale stend kwa utulivu kabisa.

Hazikupita dakika kumi Kijana mpiga debe wa pale pale stend Uyole akawa anakuja mbio uelekeo wa yule mama huku akijishika makalio analalama anaingiliwa kinyume🤣. Yaani zile simu zinamf×ra.

Kufika kwa mama akamkabidhi simu huku akilalama kuendelea kuingiliwa. Mama baada ya kupokea simu akamwambia "Nyooo... leo umefi;;;a na mwanamke" watu wote waliokuwa eneo lile mbavu hawana.

Inasemekana mama ni mtu wa Sumbawanga huko na ndio alikuwa anaelekea huko.

UCHAWI UPO
 
Hukufanikiwa hata kuchukua kapicha ili imani za ndugu wasomaji ziongezeke.!?
 
Km unajamaa stend uyole uliza kuhusu hili tukio. Sababu sio la muda mrefu naamini bado lina trend hapo uyole.
Saa hizi ni mchana watu hawanywi chai!
 
Hukufanikiwa hata kuchukua kapicha ili imani za ndugu wasomaji ziongezeke.!?
Kuna vitu vinatokea ghafra hata mambo ya picha unakuwa hukumbuki, zaidi unakuwa unashangaa tu
 
Wajinga mtazidi kupigwa

Huo ni mtego ili akitokea mjinga amfuate yule mama amsaidie jambo flani ili apigwe, na hapo stendi lazima Kuna wajinga walipigwa tu

Kama ana uwezo huo kwanini asizuie zisichukuliwe, eti zimeshachukuliwa ndo zinageuka kua mabasha

Pathetic!
Huyo mama hajulikani hapo uyole. Ila Kibaka ni mzoefu wa hapo stend.
Jana niliulizia nikaambiwa jamaa bado yupo Ila anaishi kwa aibu ameanza kuvaa miwani kuuwa soo
 
Ilikuwa ni alhamisi wiki iliyopita nikiwa Mbeya uyole niliona kitu cha kushangaza. Leo nawaletea hapa.

Siku hiyo nikiwa stend uyole mbeya nikisubiri gari za kwenda Dar maarufu "hakuna kulala" nikiwa sina hili wala lile ghafla mama wa makamo kwa muonekano ni msafiri pia akawa analalamika kapoteza simu zake mbili
Inaonekana kibaka alimkwapulia kutoka ktk mkoba wake, Ila hakuna aliyejali wala kumzingatia.

Mara mama akaomba aoneshwe sehemu kilipo choo. Baada ya kutoka chooni karudi kakaa palepale stend kwa utulivu kabisa.

Hazikupita dakika kumi Kijana mpiga debe wa pale pale stend Uyole akawa anakuja mbio uelekeo wa yule mama huku akijishika makalio analalama anaingiliwa kinyume🤣. Yaani zile simu zinamf×ra.

Kufika kwa mama akamkabidhi simu huku akilalama kuendelea kuingiliwa. Mama baada ya kupokea simu akamwambia "Nyooo... leo umefi;;;a na mwanamke" watu wote waliokuwa eneo lile mbavu hawana.

Inasemekana mama ni mtu wa Sumbawanga huko na ndio alikuwa anaelekea huko.

UCHAWI UPO
Sasa hapo uchawi upo wapi?, unajuaje labda huyo mama na huyo mpiga debe wanajuana kabla ya hilo igizo...?
 
Sasa hapo uchawi upo wapi?, unajuaje labda huyo mama na huyo mpiga debe wanajuana kabla ya hilo igizo...?
Soma kwa kuelewa,
Mama hakujitambulisha km mganga na pia hajulikani hapo stend
Ila baada ya tukio na kupatikana kwa simu zake mama aliondoka muda ule ule. ndio watu wakaanza kusema mama anatokea sumbawanga.
Mpiga debe ni mzawa wa hapo hapo uyole na hamfahamu huyo mama.
Ila yote yanawezekana
 
Wapo wa ukweli Ila huo mchezo unatengezwa tu, Kati ya alieiba na iliyeibiwa hao wote ni matapeli
 
Back
Top Bottom