GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,225
Sawa dada lakini kama alipata ujasiri wa kukusimamisha chunga isije siku nyingine akapata ujasiri wa kukusimamishia, hapo ndipo kwa hasira nitamtia kwenye kumbukumbu ya wanamtaa kuwa paliwahi kuwa na jambazi mtaani aliye nyofolewa makende yake kisha akalazimisha kuyala mabichi kisha baada ya siku mbili aliaga ulimwengu kwa kutokwa na damu nyingi.Tuko mtaa mmoja, kanisimamisha wakati napita barabarani nisingeweza kumchunia. Unajua kwenye jamii yetu tuko michangany