Tetesi: Nimeamini Mhe. Mbowe sasa amekwama

Tetesi: Nimeamini Mhe. Mbowe sasa amekwama

Mleta mada yupo sahihi kabisa ila tatizo vijana wa Leo wa Chadema hawana tena tafakuri ya mambo muhimu kwa Taifa letu.

Mbowe amechanganyikiwa kwa sasa anahitaji kuwa na washauri makini sana. Chama kinapukutika kwa kukosa kiongozi . Mbaya zaidi hana mtu anayeamini kuwa ataweza kuvaa viatu vyake vya kutumia chama kama Saccos yao binafsi.

Kwa hekima na busara na maarifa makubwa Mbowe alipaswa kutoa salam za Rambirambi na kutoa wito kwa Wanachama na viongozi wote wa Chama waliopo eneo la tukio kujitokeza kwa wingi na kusaidia kufanya kazi ya uokoaji kwa kushirikiana na watanzania wengine waliopo eneo hilo.

Suala la kulaumiana lingekua baadae huko Bungeni na sio sasa.
Kuna mambo hayafai kabisa kuyatumia kama kiki ya kisiasa.

Tena kwa busara zaidi angeweza kuwa wakwanza kufika kwenye eneo la tukio kutoa mawazo yake na kushauriana na mkuu wa mkoa ili kujenga imani na kuonyesha utu kwa vitendo.

Sasa Kiongozi mkuu tena dikteta kama Mbowe anapoanza kwa kutoa maneno ya lawama na kejeli basi linakua ni suala la wote walioko chini yake wataanza kutoa matamko na maneno ya kijinga hali itakayozidi kuwafanya waone kuwa anageuza msiba huu mkubwa kuwa suala lake la kujijenga kisiasa bila kujali maumivu na huzuni waliyo nayo wale waliopoteza ndugu zao.

Kidemokrasia Mbowe hastahili kuendelea kukalia kiti cha uongozi hata kwa dakika moja mbele. Hana hoja zaidi ya vioja.
Utajiri pekee anaomiliki kijana wa kitanzania ni simu ya smartphone
 
Kwa sasa ungeimarisha idara ya maafa na uokoaji ndani ya mkoa wako ingekua vyema zaidi kuliko kuhangaika na siasa.
 
Mleta mada yupo sahihi kabisa ila tatizo vijana wa Leo wa Chadema hawana tena tafakuri ya mambo muhimu kwa Taifa letu.

Mbowe amechanganyikiwa kwa sasa anahitaji kuwa na washauri makini sana. Chama kinapukutika kwa kukosa kiongozi . Mbaya zaidi hana mtu anayeamini kuwa ataweza kuvaa viatu vyake vya kutumia chama kama Saccos yao binafsi.

Kwa hekima na busara na maarifa makubwa Mbowe alipaswa kutoa salam za Rambirambi na kutoa wito kwa Wanachama na viongozi wote wa Chama waliopo eneo la tukio kujitokeza kwa wingi na kusaidia kufanya kazi ya uokoaji kwa kushirikiana na watanzania wengine waliopo eneo hilo.

Suala la kulaumiana lingekua baadae huko Bungeni na sio sasa.
Kuna mambo hayafai kabisa kuyatumia kama kiki ya kisiasa.

Tena kwa busara zaidi angeweza kuwa wakwanza kufika kwenye eneo la tukio kutoa mawazo yake na kushauriana na mkuu wa mkoa ili kujenga imani na kuonyesha utu kwa vitendo.

Sasa Kiongozi mkuu tena dikteta kama Mbowe anapoanza kwa kutoa maneno ya lawama na kejeli basi linakua ni suala la wote walioko chini yake wataanza kutoa matamko na maneno ya kijinga hali itakayozidi kuwafanya waone kuwa anageuza msiba huu mkubwa kuwa suala lake la kujijenga kisiasa bila kujali maumivu na huzuni waliyo nayo wale waliopoteza ndugu zao.

Kidemokrasia Mbowe hastahili kuendelea kukalia kiti cha uongozi hata kwa dakika moja mbele. Hana hoja zaidi ya vioja.
Badala ya kupangua huo uongo unajikita kwenye chama tena hahahahahahaa Tanzania bana yani unawaza chama tu kupukutika thibitisha uongo wake
 
Mtoa hoja ulitaka kusema nini? Siku nyingine kama unataka kuonyesha uongo wa mtu, weka tu jedwali linaloonyesha uongo na unaweka na ukweli juu ya jambo unalolizungumzia. Lakini kwa uliyoyasema ni nafuu ya Mbowe kuliko wewe. Mbowe melalama ameeleweka lakini wewe umeropoka tena kwa maandishi! Chunga sana, maandishi haya yatadumu kukushuhudia.
Sema umemuelewa.
Binafsi nilichoelewa kwa mbowe ni porojo alizopiga ili kuikera serekali akikamatwa ajifanye Bob wine
 
NIMEAMINI MHE. MBOWE SASA AMEKWAMA.
21 Sept.

Nimesikitishwa sana kumuona kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Freeman Mbowe akilalama kuiponda serikali na kuilaumu kufuatia ajali ya MV Nyerere.

Niwe mkweli sikutarajia kuona Mbowe amefikia hatua hii. Sikutarajia kuona Mbowe ameamua kuwa mwanasiasa anayeokoteza hoja na kubwabwaja uongo kwa kiwango hiki.

Juzi kaitisha mkutano na waandishi wa habari kaongea uongo mtupu kuhusu uchaguzi mdogo uliofanyika tarehe 16 Sept, 2018. Jana Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Kihamia amemjibu na kumtaka aombe radhi kwa uongo alioutangaza ndani ya siku saba ama sivyo athibitishe madai yake.

Leo kaibuka tena na uongo na uchochezi kuhusu ajali ya Mv Nyerere iliyopinduka na kuzama ziwa Victoria. Najua atakapotakiwa kuthibitisha uongo wake atapiga chaka tena kama alivyopiga chaka kuhusu uongo wake juu ya uchaguzi mdogo wa majuzi.

Watanzania wapo kwenye majonzi, hii ni ajali imechukua roho za ndugu zetu, hapa sio mahali pa kufanyia siasa. Tena siasa zenyewe za kusema uongo.

Ukisikia kufilisika kisiasa ndio huku, kiongozi mkuu unaacha kujenga hoja za haja, unapiga porojo za uongo halafu watu makini kwenye chama chako wakiamua kuhama chama unasema wananunuliwa. Mtu mwenye akili timamu hawezi kukaa mahali panaomdhalilisha na panaomharibia sifa na dhamira yake kwa Taifa. Mahali palipojaa usanii.

Kwanza, Mbowe anasema Mbunge wa Ukerewe aliwahi kutahadharisha kuhusu ubovu wa MV Ukerewe lakini Serikali ilipuuzia ndio maana kumetokea ajali. SIO KWELI HATA KIDOGO. Hata kabla ya Mbunge wa Ukerewe hajasema Bungeni Serikali ya awamu ya tano ilishaanza mchakato wa kukarabati kivuko hicho na ilikuwa tayari imetenga fedha za kukikarabati. Katikati ya Mwezi Julai 2018 ukarabati ulikamilika kwa gharama ya shilingi milioni 191 zilizohusisha ununuzi wa injini mbili na maboresho mengine. Sote tuliona kwenye vyombo vya habari wananchi wa kisiwa cha Ukara wakishangilia na kuishukuru Serikali kwa kukitengeneza kivuko hicho ambacho baada ya ukarabati kilikuwa na uwezo wa kusafiri kwa dakika 45 kati ya Ukara na Bugorora tofauti na awali kilipokuwa kinatumia masaa 2 hadi 3. Mbowe kadanganya.

Pili, Mbowe anasema serikali haitilii maanani usalama wa majini. Ni muongo wa kupigiwa mfano, Serikali imefanya juhudi kubwa kununua boti za doria na kuongeza uwezo wa jeshi la zimamoti na uokoaji kwa ajili ya kuimarisha shughuli za uokoaji na waliopo katika maziwa wanaona kilichofanyika kupitia majeshi yetu.

Niliposikia maneno haya ya Mbowe harakaharaka nikaangalia bajeti ya Zimamoto na uokoaji ambayo imepitishwa katika Bunge la Bajeti lililopita ambalo Mbowe aliwaambia Wabunge wake wasusie na kutoka nje. Nikaona baada ya ukame wa miaka mingi kwa mara ya kwanza serikali ya awamu ya tano imetoa fedha nyingi kiasi cha shilingi Bilioni 5 za kununulia magari ya zimamoto na uokoaji, imetoa shilingi milioni 500 kwa ajili ya kununulia vifaa vya uokoaji majini na inatarajia kupata mkopo nafuu kutoka Austria wa Euro milioni 5 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 14.5 kwa ajili ya kupata vifaa zaidi na vya kisasa vya uokoaji.

Sasa kwa maoni yangu serikali ya awamu ya tano imeonesha dhahiri sio tu nia ya kuimarisha usalama wa majini bali pia kuimarisha usafiri wenyewe.

Mbowe ameshasahau kuwa ni juzi tu Rais Magufuli amezindua ujenzi wa meli mpya katika ziwa Victoria. Amesahau kuwa Serikali ya Awamu ya Tano tayari imekarabati meli 5 kati ya meli zote 14 zilizokuwa zimesimama kutoa huduma kutokana na ubovu kwa miaka mingi tena nyingine zimesimama tangu miaka 10 iliyopita.

Mbowe amesahau kuwa Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Magufuli imekamilisha ujenzi wa MV Njombe na MV Ruvuma katika ziwa Nyasa ambazo sasa zimeleta suluhisho na usalama wa usafiri kwa wananchi. Inasikitisha sana.

Tatu, hoja zingine za Mbowe mniwie radhi zinaonekana za kipuuzi kabisa, eti anaponda kwa nini salamu za Rais zimetolewa na Msigwa. Yaani kajitoa ufahamu kuwa Msigwa ni Msemaji wa Rais na anachosema ndicho alichosema Rais.

Halafu anasahau kwamba Rais Magufuli sio level yake, maana namuona anasema CHADEMA inamtaka Rais Magufuli atangaze maombolezo ya Kitaifa. Tangu lini Serikali ikafanya kazi kwa maelekezo ya CHADEMA?

Mbowe kaendelea kuokoteza hoja, mara hooo kusitisha zoezi kwa sababu ya giza ilikuwa ni makosa, yeye Mbowe anajua kilichokuwa kinatokea eneo la tukio? Anataka kusema watu wote waliokuwa wakiendelea na uokoaji pale hawana akili isipokuwa yeye aliyekuwa Dar es Salaam kwenye mkutano wa waandishi wa habari?

Halafu ajali za kuzama vivuko ama meli zimetokea Tanzania tu? Huko kwingine zinakotokea watu huwa hawapotezi maisha? Upuuzi mtupu.

Mbowe anadai kila mwezi kuna watu 20 hadi 30 wanakufa kwa kuzama majini kapata wapi takwimu hizi, nani kathibitisha vifo hivyo. Yaani wafe watu 20 hadi 30 nchini halafu ajue Mbowe tu? Hata Rais awe hajui wala vyombo vya habari havijui wala wananchi waliopo maeneo ya usafiri wa maji hawajui?

Au ndio ule ule utamaduni wa Mbowe na genge lake wa kuwatangazia Watanzania kuwa watu wameua kwa mamia na miili inaokotwa kwenye ufukwe wa bahari lakini akiulizwa mamia waliofiwa wapo wapi hakuna anachoonesha, usanii mtupu.

Mbowe anataka viongozi wawajibike kwa matukio haya ya ajali. Mimi ningemuelewa zaidi kama yeye angeonesha mfano wa kuwajibika kuendesha siasa zisizo na tija na ambazo zinasababisha watu kufa akiwemo Akwelina Akwilini, Daudi Mwangosi, Chacha Wangwe na juzi tu msadizi wake.

Ningeelewa zaidi kama Mbowe angeonesha mfano wa kuwajibika kwa kuachia madaraka ya uenyekiti kutokana na anguko la chama chake linalotokana na kuhama kwa wabunge, madiwani na maelfu ya wanachama. Lengo si kuonesha umewajibika kama kiongozi mwenye dhamana? Aanze yeye ili tujue kuwa anaongoza kwa mifano.

Kwa kweli namshangaa sana Mbowe na kwa mwendo huu anatengeneza anguko lake kubwa sana kisiasa. Na kwa kuwa amekikumbatia chama chake cha CHADEMA anguko hili halitakuwa la Mbowe pekee yake litakuwa anguko pia la chama chake.

Nawasihi Watanzania tuwe makini na siasa za kichochezi za watu wa aina ya Mbowe. Bahati nzuri serikali imekaa vizuri sana kuwadhibiti wanasiasa wachochezi akiwemo yeye Mbowe. Naanza kuwaamini wanaosema kuwa sasa hivi Mbowe anajitoa ufahamu ili kutafuta huruma ya wananchi hasa wakati huu ambapo anakabiliwa na kesi mbaya ambayo kwa tunaojua mwenendo wa kisheria pale hataweza kuchomoka, kifungo kinamhusu vizuri sana.

Ifike mahali Watanzania tuongee lugha moja na tuachane na propaganda za kutuchelewesha. Kama anavyosema Rais Magufuli tumechelewa mno, sasa imetosha tuchape kazi tujenge nchi yetu.

Mwisho natoa pole kwa wote waliofikwa na msiba wa kuondokewa na jamaa zao katika ajali ya Mv Nyerere, pole kwa majeruhi wote na nawaombea mpone haraka.

Siku njema

Bw. Mpoki Ambonisye
Uyole, Mbeya
Tumekusikia,,,amekusikia,,subiri uteuzi
 
Unawaaibisha watu wa kwenu huko uyole, anyway swala la msingi ni pole kwa wahanga lakini mengine ni mambo ya kina Elton john tu....
 
Badala ya kupangua huo uongo unajikita kwenye chama tena hahahahahahaa Tanzania bana yani unawaza chama tu kupukutika thibitisha uongo wake
Suala sio uongo wake wala ukweli wake ,bali ni wakati wa kuanza malumbano ya kisiasa kwa wakati huu wa janga kubwa lililopoteza maisha ya watanzania wenzetu.

Ndio maana kuna somo la Sayansi ya siasa.
Lazima ujue kucheza na akili za watu kwa wakati sahihi.
Wafiwa kwa sasa hawahitaji siasa wala lawama mana hilo ni tukio la ajali sio tukio la kupangwa. Wahanga na familia zao wanahitaji kutiwa moyo na kusaidiwa kwa hali na Mali sio kusikiliza lawama ambazo hazitawasaidia kwa sasa.

Mbowe angeweza kuwahi eneo la tukio au angemtumia mbunge wake kuhamasisha uokoaji na kuopoa miili ya marehemu akiwa bega kwa bega na mkuu wa mkoa. Hakika angeheshimika zaidi na hata kutangazwa kwenye vyombo vya habari na kuonyesha kuwa ana guswa na matatizo ya jamii zaidi.

Angefika kwenye eneo la tukio na kutoa hata sh. Mil. 5 kama motisha kwa vijana na askari waliokua wanaokoa na kuopoa miili ya wahanga angejijengea sifa yenye utu zaidi na angesifiwa hata na viongozi wa serikali. Angeweka pembeni kabisa masuala ya siasa.
 
Suala sio uongo wake wala ukweli wake ,bali ni wakati wa kuanza malumbano ya kisiasa kwa wakati huu wa janga kubwa lililopoteza maisha ya watanzania wenzetu.

Ndio maana kuna somo la Sayansi ya siasa.
Lazima ujue kucheza na akili za watu kwa wakati sahihi.
Wafiwa kwa sasa hawahitaji siasa wala lawama mana hilo ni tukio la ajali sio tukio la kupangwa. Wahanga na familia zao wanahitaji kutiwa moyo na kusaidiwa kwa hali na Mali sio kusikiliza lawama ambazo hazitawasaidia kwa sasa.

Mbowe angeweza kuwahi eneo la tukio au angemtumia mbunge wake kuhamasisha uokoaji na kuopoa miili ya marehemu akiwa bega kwa bega na mkuu wa mkoa. Hakika angeheshimika zaidi na hata kutangazwa kwenye vyombo vya habari na kuonyesha kuwa ana guswa na matatizo ya jamii zaidi.

Angefika kwenye eneo la tukio na kutoa hata sh. Mil. 5 kama motisha kwa vijana na askari waliokua wanaokoa na kuopoa miili ya wahanga angejijengea sifa yenye utu zaidi na angesifiwa hata na viongozi wa serikali. Angeweka pembeni kabisa masuala ya siasa.
Mbowe hadi atoe hizo hela kitengo cha majanga ambacho serikali inatenga bajet yake zinafanya nini? Ujue unaandika vitu virefu halafu hamna point jitahidi kujenga hoja kivuko mwisho watu kubeba 100 hao 200+ walikuwa wanakwenda wapi? Msimamiz wa kivuko cha serikali kawajibika?
 
akili ndogo hii, kila Mtanzania ana uhuru wa kuzungumzia chenye maslahi au kinachogusa Watanzania
 
NIMEAMINI MHE. MBOWE SASA AMEKWAMA.
21 Sept.

Nimesikitishwa sana kumuona kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Freeman Mbowe akilalama kuiponda serikali na kuilaumu kufuatia ajali ya MV Nyerere.

Niwe mkweli sikutarajia kuona Mbowe amefikia hatua hii. Sikutarajia kuona Mbowe ameamua kuwa mwanasiasa anayeokoteza hoja na kubwabwaja uongo kwa kiwango hiki.

Juzi kaitisha mkutano na waandishi wa habari kaongea uongo mtupu kuhusu uchaguzi mdogo uliofanyika tarehe 16 Sept, 2018. Jana Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Kihamia amemjibu na kumtaka aombe radhi kwa uongo alioutangaza ndani ya siku saba ama sivyo athibitishe madai yake.

Leo kaibuka tena na uongo na uchochezi kuhusu ajali ya Mv Nyerere iliyopinduka na kuzama ziwa Victoria. Najua atakapotakiwa kuthibitisha uongo wake atapiga chaka tena kama alivyopiga chaka kuhusu uongo wake juu ya uchaguzi mdogo wa majuzi.

Watanzania wapo kwenye majonzi, hii ni ajali imechukua roho za ndugu zetu, hapa sio mahali pa kufanyia siasa. Tena siasa zenyewe za kusema uongo.

Ukisikia kufilisika kisiasa ndio huku, kiongozi mkuu unaacha kujenga hoja za haja, unapiga porojo za uongo halafu watu makini kwenye chama chako wakiamua kuhama chama unasema wananunuliwa. Mtu mwenye akili timamu hawezi kukaa mahali panaomdhalilisha na panaomharibia sifa na dhamira yake kwa Taifa. Mahali palipojaa usanii.

Kwanza, Mbowe anasema Mbunge wa Ukerewe aliwahi kutahadharisha kuhusu ubovu wa MV Ukerewe lakini Serikali ilipuuzia ndio maana kumetokea ajali. SIO KWELI HATA KIDOGO. Hata kabla ya Mbunge wa Ukerewe hajasema Bungeni Serikali ya awamu ya tano ilishaanza mchakato wa kukarabati kivuko hicho na ilikuwa tayari imetenga fedha za kukikarabati. Katikati ya Mwezi Julai 2018 ukarabati ulikamilika kwa gharama ya shilingi milioni 191 zilizohusisha ununuzi wa injini mbili na maboresho mengine. Sote tuliona kwenye vyombo vya habari wananchi wa kisiwa cha Ukara wakishangilia na kuishukuru Serikali kwa kukitengeneza kivuko hicho ambacho baada ya ukarabati kilikuwa na uwezo wa kusafiri kwa dakika 45 kati ya Ukara na Bugorora tofauti na awali kilipokuwa kinatumia masaa 2 hadi 3. Mbowe kadanganya.

Pili, Mbowe anasema serikali haitilii maanani usalama wa majini. Ni muongo wa kupigiwa mfano, Serikali imefanya juhudi kubwa kununua boti za doria na kuongeza uwezo wa jeshi la zimamoti na uokoaji kwa ajili ya kuimarisha shughuli za uokoaji na waliopo katika maziwa wanaona kilichofanyika kupitia majeshi yetu.

Niliposikia maneno haya ya Mbowe harakaharaka nikaangalia bajeti ya Zimamoto na uokoaji ambayo imepitishwa katika Bunge la Bajeti lililopita ambalo Mbowe aliwaambia Wabunge wake wasusie na kutoka nje. Nikaona baada ya ukame wa miaka mingi kwa mara ya kwanza serikali ya awamu ya tano imetoa fedha nyingi kiasi cha shilingi Bilioni 5 za kununulia magari ya zimamoto na uokoaji, imetoa shilingi milioni 500 kwa ajili ya kununulia vifaa vya uokoaji majini na inatarajia kupata mkopo nafuu kutoka Austria wa Euro milioni 5 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 14.5 kwa ajili ya kupata vifaa zaidi na vya kisasa vya uokoaji.

Sasa kwa maoni yangu serikali ya awamu ya tano imeonesha dhahiri sio tu nia ya kuimarisha usalama wa majini bali pia kuimarisha usafiri wenyewe.

Mbowe ameshasahau kuwa ni juzi tu Rais Magufuli amezindua ujenzi wa meli mpya katika ziwa Victoria. Amesahau kuwa Serikali ya Awamu ya Tano tayari imekarabati meli 5 kati ya meli zote 14 zilizokuwa zimesimama kutoa huduma kutokana na ubovu kwa miaka mingi tena nyingine zimesimama tangu miaka 10 iliyopita.

Mbowe amesahau kuwa Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Magufuli imekamilisha ujenzi wa MV Njombe na MV Ruvuma katika ziwa Nyasa ambazo sasa zimeleta suluhisho na usalama wa usafiri kwa wananchi. Inasikitisha sana.

Tatu, hoja zingine za Mbowe mniwie radhi zinaonekana za kipuuzi kabisa, eti anaponda kwa nini salamu za Rais zimetolewa na Msigwa. Yaani kajitoa ufahamu kuwa Msigwa ni Msemaji wa Rais na anachosema ndicho alichosema Rais.

Halafu anasahau kwamba Rais Magufuli sio level yake, maana namuona anasema CHADEMA inamtaka Rais Magufuli atangaze maombolezo ya Kitaifa. Tangu lini Serikali ikafanya kazi kwa maelekezo ya CHADEMA?

Mbowe kaendelea kuokoteza hoja, mara hooo kusitisha zoezi kwa sababu ya giza ilikuwa ni makosa, yeye Mbowe anajua kilichokuwa kinatokea eneo la tukio? Anataka kusema watu wote waliokuwa wakiendelea na uokoaji pale hawana akili isipokuwa yeye aliyekuwa Dar es Salaam kwenye mkutano wa waandishi wa habari?

Halafu ajali za kuzama vivuko ama meli zimetokea Tanzania tu? Huko kwingine zinakotokea watu huwa hawapotezi maisha? Upuuzi mtupu.

Mbowe anadai kila mwezi kuna watu 20 hadi 30 wanakufa kwa kuzama majini kapata wapi takwimu hizi, nani kathibitisha vifo hivyo. Yaani wafe watu 20 hadi 30 nchini halafu ajue Mbowe tu? Hata Rais awe hajui wala vyombo vya habari havijui wala wananchi waliopo maeneo ya usafiri wa maji hawajui?

Au ndio ule ule utamaduni wa Mbowe na genge lake wa kuwatangazia Watanzania kuwa watu wameua kwa mamia na miili inaokotwa kwenye ufukwe wa bahari lakini akiulizwa mamia waliofiwa wapo wapi hakuna anachoonesha, usanii mtupu.

Mbowe anataka viongozi wawajibike kwa matukio haya ya ajali. Mimi ningemuelewa zaidi kama yeye angeonesha mfano wa kuwajibika kuendesha siasa zisizo na tija na ambazo zinasababisha watu kufa akiwemo Akwelina Akwilini, Daudi Mwangosi, Chacha Wangwe na juzi tu msadizi wake.

Ningeelewa zaidi kama Mbowe angeonesha mfano wa kuwajibika kwa kuachia madaraka ya uenyekiti kutokana na anguko la chama chake linalotokana na kuhama kwa wabunge, madiwani na maelfu ya wanachama. Lengo si kuonesha umewajibika kama kiongozi mwenye dhamana? Aanze yeye ili tujue kuwa anaongoza kwa mifano.

Kwa kweli namshangaa sana Mbowe na kwa mwendo huu anatengeneza anguko lake kubwa sana kisiasa. Na kwa kuwa amekikumbatia chama chake cha CHADEMA anguko hili halitakuwa la Mbowe pekee yake litakuwa anguko pia la chama chake.

Nawasihi Watanzania tuwe makini na siasa za kichochezi za watu wa aina ya Mbowe. Bahati nzuri serikali imekaa vizuri sana kuwadhibiti wanasiasa wachochezi akiwemo yeye Mbowe. Naanza kuwaamini wanaosema kuwa sasa hivi Mbowe anajitoa ufahamu ili kutafuta huruma ya wananchi hasa wakati huu ambapo anakabiliwa na kesi mbaya ambayo kwa tunaojua mwenendo wa kisheria pale hataweza kuchomoka, kifungo kinamhusu vizuri sana.

Ifike mahali Watanzania tuongee lugha moja na tuachane na propaganda za kutuchelewesha. Kama anavyosema Rais Magufuli tumechelewa mno, sasa imetosha tuchape kazi tujenge nchi yetu.

Mwisho natoa pole kwa wote waliofikwa na msiba wa kuondokewa na jamaa zao katika ajali ya Mv Nyerere, pole kwa majeruhi wote na nawaombea mpone haraka.

Siku njema

Bw. Mpoki Ambonisye
Uyole, Mbeya
Ugonile Mpoki,
Mpoki zimamoto haijawahi na haitawahi kufanya uokoaji baharini, ziwani hata mtoni. Mferejini inaweza, lakini magari yao hayawezi kutembea ndani ya maji na pia sidhani kama uogeleaji ni sehemu yao ya kazi licha ya magari yao kubeba maji. Kuweka injini mpya ni moja ya hatua ya usalama wa abiria kwenye chombo lakini cha muhimu zaidi ni kuwemo maboya au fulana za kuelea, bahati mbaya sijaziona kwenye picha za eneo la tukio. Hivyo nilivyovitaja ni lazima viwemo na Sumatra wanalazimika kutueleza kama vilikuwemo na vililingana na idadi ya abiria; Pia Sumatra wanalazimika kutueleza idadi ya abiria waliopanda kama inalingana na uwezo wa chombo, vyote hivi vinasimamiwa na serikali.
Vipi, mwenzetu ulipatapo kachimpumu kidogo kabla ya kuandika.
Msalimu Tulia.
 
NIMEAMINI MHE. MBOWE SASA AMEKWAMA.
21 Sept.

Nimesikitishwa sana kumuona kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Freeman Mbowe akilalama kuiponda serikali na kuilaumu kufuatia ajali ya MV Nyerere.

Niwe mkweli sikutarajia kuona Mbowe amefikia hatua hii. Sikutarajia kuona Mbowe ameamua kuwa mwanasiasa anayeokoteza hoja na kubwabwaja uongo kwa kiwango hiki.

Juzi kaitisha mkutano na waandishi wa habari kaongea uongo mtupu kuhusu uchaguzi mdogo uliofanyika tarehe 16 Sept, 2018. Jana Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Kihamia amemjibu na kumtaka aombe radhi kwa uongo alioutangaza ndani ya siku saba ama sivyo athibitishe madai yake.

Leo kaibuka tena na uongo na uchochezi kuhusu ajali ya Mv Nyerere iliyopinduka na kuzama ziwa Victoria. Najua atakapotakiwa kuthibitisha uongo wake atapiga chaka tena kama alivyopiga chaka kuhusu uongo wake juu ya uchaguzi mdogo wa majuzi.

Watanzania wapo kwenye majonzi, hii ni ajali imechukua roho za ndugu zetu, hapa sio mahali pa kufanyia siasa. Tena siasa zenyewe za kusema uongo.

Ukisikia kufilisika kisiasa ndio huku, kiongozi mkuu unaacha kujenga hoja za haja, unapiga porojo za uongo halafu watu makini kwenye chama chako wakiamua kuhama chama unasema wananunuliwa. Mtu mwenye akili timamu hawezi kukaa mahali panaomdhalilisha na panaomharibia sifa na dhamira yake kwa Taifa. Mahali palipojaa usanii.

Kwanza, Mbowe anasema Mbunge wa Ukerewe aliwahi kutahadharisha kuhusu ubovu wa MV Ukerewe lakini Serikali ilipuuzia ndio maana kumetokea ajali. SIO KWELI HATA KIDOGO. Hata kabla ya Mbunge wa Ukerewe hajasema Bungeni Serikali ya awamu ya tano ilishaanza mchakato wa kukarabati kivuko hicho na ilikuwa tayari imetenga fedha za kukikarabati. Katikati ya Mwezi Julai 2018 ukarabati ulikamilika kwa gharama ya shilingi milioni 191 zilizohusisha ununuzi wa injini mbili na maboresho mengine. Sote tuliona kwenye vyombo vya habari wananchi wa kisiwa cha Ukara wakishangilia na kuishukuru Serikali kwa kukitengeneza kivuko hicho ambacho baada ya ukarabati kilikuwa na uwezo wa kusafiri kwa dakika 45 kati ya Ukara na Bugorora tofauti na awali kilipokuwa kinatumia masaa 2 hadi 3. Mbowe kadanganya.

Pili, Mbowe anasema serikali haitilii maanani usalama wa majini. Ni muongo wa kupigiwa mfano, Serikali imefanya juhudi kubwa kununua boti za doria na kuongeza uwezo wa jeshi la zimamoti na uokoaji kwa ajili ya kuimarisha shughuli za uokoaji na waliopo katika maziwa wanaona kilichofanyika kupitia majeshi yetu.

Niliposikia maneno haya ya Mbowe harakaharaka nikaangalia bajeti ya Zimamoto na uokoaji ambayo imepitishwa katika Bunge la Bajeti lililopita ambalo Mbowe aliwaambia Wabunge wake wasusie na kutoka nje. Nikaona baada ya ukame wa miaka mingi kwa mara ya kwanza serikali ya awamu ya tano imetoa fedha nyingi kiasi cha shilingi Bilioni 5 za kununulia magari ya zimamoto na uokoaji, imetoa shilingi milioni 500 kwa ajili ya kununulia vifaa vya uokoaji majini na inatarajia kupata mkopo nafuu kutoka Austria wa Euro milioni 5 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 14.5 kwa ajili ya kupata vifaa zaidi na vya kisasa vya uokoaji.

Sasa kwa maoni yangu serikali ya awamu ya tano imeonesha dhahiri sio tu nia ya kuimarisha usalama wa majini bali pia kuimarisha usafiri wenyewe.

Mbowe ameshasahau kuwa ni juzi tu Rais Magufuli amezindua ujenzi wa meli mpya katika ziwa Victoria. Amesahau kuwa Serikali ya Awamu ya Tano tayari imekarabati meli 5 kati ya meli zote 14 zilizokuwa zimesimama kutoa huduma kutokana na ubovu kwa miaka mingi tena nyingine zimesimama tangu miaka 10 iliyopita.

Mbowe amesahau kuwa Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Magufuli imekamilisha ujenzi wa MV Njombe na MV Ruvuma katika ziwa Nyasa ambazo sasa zimeleta suluhisho na usalama wa usafiri kwa wananchi. Inasikitisha sana.

Tatu, hoja zingine za Mbowe mniwie radhi zinaonekana za kipuuzi kabisa, eti anaponda kwa nini salamu za Rais zimetolewa na Msigwa. Yaani kajitoa ufahamu kuwa Msigwa ni Msemaji wa Rais na anachosema ndicho alichosema Rais.

Halafu anasahau kwamba Rais Magufuli sio level yake, maana namuona anasema CHADEMA inamtaka Rais Magufuli atangaze maombolezo ya Kitaifa. Tangu lini Serikali ikafanya kazi kwa maelekezo ya CHADEMA?

Mbowe kaendelea kuokoteza hoja, mara hooo kusitisha zoezi kwa sababu ya giza ilikuwa ni makosa, yeye Mbowe anajua kilichokuwa kinatokea eneo la tukio? Anataka kusema watu wote waliokuwa wakiendelea na uokoaji pale hawana akili isipokuwa yeye aliyekuwa Dar es Salaam kwenye mkutano wa waandishi wa habari?

Halafu ajali za kuzama vivuko ama meli zimetokea Tanzania tu? Huko kwingine zinakotokea watu huwa hawapotezi maisha? Upuuzi mtupu.

Mbowe anadai kila mwezi kuna watu 20 hadi 30 wanakufa kwa kuzama majini kapata wapi takwimu hizi, nani kathibitisha vifo hivyo. Yaani wafe watu 20 hadi 30 nchini halafu ajue Mbowe tu? Hata Rais awe hajui wala vyombo vya habari havijui wala wananchi waliopo maeneo ya usafiri wa maji hawajui?

Au ndio ule ule utamaduni wa Mbowe na genge lake wa kuwatangazia Watanzania kuwa watu wameua kwa mamia na miili inaokotwa kwenye ufukwe wa bahari lakini akiulizwa mamia waliofiwa wapo wapi hakuna anachoonesha, usanii mtupu.

Mbowe anataka viongozi wawajibike kwa matukio haya ya ajali. Mimi ningemuelewa zaidi kama yeye angeonesha mfano wa kuwajibika kuendesha siasa zisizo na tija na ambazo zinasababisha watu kufa akiwemo Akwelina Akwilini, Daudi Mwangosi, Chacha Wangwe na juzi tu msadizi wake.

Ningeelewa zaidi kama Mbowe angeonesha mfano wa kuwajibika kwa kuachia madaraka ya uenyekiti kutokana na anguko la chama chake linalotokana na kuhama kwa wabunge, madiwani na maelfu ya wanachama. Lengo si kuonesha umewajibika kama kiongozi mwenye dhamana? Aanze yeye ili tujue kuwa anaongoza kwa mifano.

Kwa kweli namshangaa sana Mbowe na kwa mwendo huu anatengeneza anguko lake kubwa sana kisiasa. Na kwa kuwa amekikumbatia chama chake cha CHADEMA anguko hili halitakuwa la Mbowe pekee yake litakuwa anguko pia la chama chake.

Nawasihi Watanzania tuwe makini na siasa za kichochezi za watu wa aina ya Mbowe. Bahati nzuri serikali imekaa vizuri sana kuwadhibiti wanasiasa wachochezi akiwemo yeye Mbowe. Naanza kuwaamini wanaosema kuwa sasa hivi Mbowe anajitoa ufahamu ili kutafuta huruma ya wananchi hasa wakati huu ambapo anakabiliwa na kesi mbaya ambayo kwa tunaojua mwenendo wa kisheria pale hataweza kuchomoka, kifungo kinamhusu vizuri sana.

Ifike mahali Watanzania tuongee lugha moja na tuachane na propaganda za kutuchelewesha. Kama anavyosema Rais Magufuli tumechelewa mno, sasa imetosha tuchape kazi tujenge nchi yetu.

Mwisho natoa pole kwa wote waliofikwa na msiba wa kuondokewa na jamaa zao katika ajali ya Mv Nyerere, pole kwa majeruhi wote na nawaombea mpone haraka.

Siku njema

Bw. Mpoki Ambonisye
Uyole, Mbeya
[emoji26][emoji26]hatutoi rambirambi mkuu...Kama mnategemea rambirambi za mv Nyerere mkamnunue Kubenea mwaka huu mmekwama hapa Ni RIP tu....
 
Tuache siasa kwenye jambo hili.
Watu wamefiwa watu wanaomboleza.
Inauma sana.
Acheni masihara.
Naamini kabisa ndugu yako wa karibu angekuwa kafa kwenye hii ajali usiangendika hizi mambo humu.
Tuacheni tuomboleze. Siasa za kipuuzi tupa kule.
Jiwe hata Nusu mlingoti kagoma kushusha...
 
kwani kuna nafasi zilizo wazi huko????? mana naona kijana kajikamua kuandika upuuzi tupu...ka uchaguzi flan US embassy walitoa walio yaona mkabishana nao ,mbowe nae kasema yaliyo tokea bado mnabisha...halafu mnakaa kufurahia polisi kushangilia ushindi wa ccm...vijana kama ww ni tatizo
 
Mbowe hadi atoe hizo hela kitengo cha majanga ambacho serikali inatenga bajet yake zinafanya nini? Ujue unaandika vitu virefu halafu hamna point jitahidi kujenga hoja kivuko mwisho watu kubeba 100 hao 200+ walikuwa wanakwenda wapi? Msimamiz wa kivuko cha serikali kawajibika?

Siasa za Afrika msipojua kucheza nazo ikulu mtaisikia kwenye vyombo vya habari.

Mfuko wa Maafa ni wa serikali ya CCM wapinzani kwa sasa wanaonekana hawana umuhimu wowote mana hakuna mahali wanapojitokeza kusaidiana na jamii kutatua tatizo .
Nchi yetu ni tegemeze bado.
Tunategemea wahisani bado kwa hiyo kiongozi mkubwa wa Chama chenye wapiga kura mil. 6 kutoa mil. 5 kuhamasisha vijana ili wafanye ngumu ya kuopoa miili ya wahanga tena watanzania wenzetu hakika ingekua ni kiki nzuri sana ya kisiasa kuliko kuanza matamko ya kisiasa na lawama ambazo serikali itakapozijibu wananchi watazidi kujiuliza ingekua kuna ndugu zake Mbowe angeanzisha malumbano ?
 
NIMEAMINI MHE. MBOWE SASA AMEKWAMA.
21 Sept.

Nimesikitishwa sana kumuona kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Freeman Mbowe akilalama kuiponda serikali na kuilaumu kufuatia ajali ya MV Nyerere.

Niwe mkweli sikutarajia kuona Mbowe amefikia hatua hii. Sikutarajia kuona Mbowe ameamua kuwa mwanasiasa anayeokoteza hoja na kubwabwaja uongo kwa kiwango hiki.

Juzi kaitisha mkutano na waandishi wa habari kaongea uongo mtupu kuhusu uchaguzi mdogo uliofanyika tarehe 16 Sept, 2018. Jana Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Kihamia amemjibu na kumtaka aombe radhi kwa uongo alioutangaza ndani ya siku saba ama sivyo athibitishe madai yake.

Leo kaibuka tena na uongo na uchochezi kuhusu ajali ya Mv Nyerere iliyopinduka na kuzama ziwa Victoria. Najua atakapotakiwa kuthibitisha uongo wake atapiga chaka tena kama alivyopiga chaka kuhusu uongo wake juu ya uchaguzi mdogo wa majuzi.

Watanzania wapo kwenye majonzi, hii ni ajali imechukua roho za ndugu zetu, hapa sio mahali pa kufanyia siasa. Tena siasa zenyewe za kusema uongo.

Ukisikia kufilisika kisiasa ndio huku, kiongozi mkuu unaacha kujenga hoja za haja, unapiga porojo za uongo halafu watu makini kwenye chama chako wakiamua kuhama chama unasema wananunuliwa. Mtu mwenye akili timamu hawezi kukaa mahali panaomdhalilisha na panaomharibia sifa na dhamira yake kwa Taifa. Mahali palipojaa usanii.

Kwanza, Mbowe anasema Mbunge wa Ukerewe aliwahi kutahadharisha kuhusu ubovu wa MV Ukerewe lakini Serikali ilipuuzia ndio maana kumetokea ajali. SIO KWELI HATA KIDOGO. Hata kabla ya Mbunge wa Ukerewe hajasema Bungeni Serikali ya awamu ya tano ilishaanza mchakato wa kukarabati kivuko hicho na ilikuwa tayari imetenga fedha za kukikarabati. Katikati ya Mwezi Julai 2018 ukarabati ulikamilika kwa gharama ya shilingi milioni 191 zilizohusisha ununuzi wa injini mbili na maboresho mengine. Sote tuliona kwenye vyombo vya habari wananchi wa kisiwa cha Ukara wakishangilia na kuishukuru Serikali kwa kukitengeneza kivuko hicho ambacho baada ya ukarabati kilikuwa na uwezo wa kusafiri kwa dakika 45 kati ya Ukara na Bugorora tofauti na awali kilipokuwa kinatumia masaa 2 hadi 3. Mbowe kadanganya.

Pili, Mbowe anasema serikali haitilii maanani usalama wa majini. Ni muongo wa kupigiwa mfano, Serikali imefanya juhudi kubwa kununua boti za doria na kuongeza uwezo wa jeshi la zimamoti na uokoaji kwa ajili ya kuimarisha shughuli za uokoaji na waliopo katika maziwa wanaona kilichofanyika kupitia majeshi yetu.

Niliposikia maneno haya ya Mbowe harakaharaka nikaangalia bajeti ya Zimamoto na uokoaji ambayo imepitishwa katika Bunge la Bajeti lililopita ambalo Mbowe aliwaambia Wabunge wake wasusie na kutoka nje. Nikaona baada ya ukame wa miaka mingi kwa mara ya kwanza serikali ya awamu ya tano imetoa fedha nyingi kiasi cha shilingi Bilioni 5 za kununulia magari ya zimamoto na uokoaji, imetoa shilingi milioni 500 kwa ajili ya kununulia vifaa vya uokoaji majini na inatarajia kupata mkopo nafuu kutoka Austria wa Euro milioni 5 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 14.5 kwa ajili ya kupata vifaa zaidi na vya kisasa vya uokoaji.

Sasa kwa maoni yangu serikali ya awamu ya tano imeonesha dhahiri sio tu nia ya kuimarisha usalama wa majini bali pia kuimarisha usafiri wenyewe.

Mbowe ameshasahau kuwa ni juzi tu Rais Magufuli amezindua ujenzi wa meli mpya katika ziwa Victoria. Amesahau kuwa Serikali ya Awamu ya Tano tayari imekarabati meli 5 kati ya meli zote 14 zilizokuwa zimesimama kutoa huduma kutokana na ubovu kwa miaka mingi tena nyingine zimesimama tangu miaka 10 iliyopita.

Mbowe amesahau kuwa Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Magufuli imekamilisha ujenzi wa MV Njombe na MV Ruvuma katika ziwa Nyasa ambazo sasa zimeleta suluhisho na usalama wa usafiri kwa wananchi. Inasikitisha sana.

Tatu, hoja zingine za Mbowe mniwie radhi zinaonekana za kipuuzi kabisa, eti anaponda kwa nini salamu za Rais zimetolewa na Msigwa. Yaani kajitoa ufahamu kuwa Msigwa ni Msemaji wa Rais na anachosema ndicho alichosema Rais.

Halafu anasahau kwamba Rais Magufuli sio level yake, maana namuona anasema CHADEMA inamtaka Rais Magufuli atangaze maombolezo ya Kitaifa. Tangu lini Serikali ikafanya kazi kwa maelekezo ya CHADEMA?

Mbowe kaendelea kuokoteza hoja, mara hooo kusitisha zoezi kwa sababu ya giza ilikuwa ni makosa, yeye Mbowe anajua kilichokuwa kinatokea eneo la tukio? Anataka kusema watu wote waliokuwa wakiendelea na uokoaji pale hawana akili isipokuwa yeye aliyekuwa Dar es Salaam kwenye mkutano wa waandishi wa habari?

Halafu ajali za kuzama vivuko ama meli zimetokea Tanzania tu? Huko kwingine zinakotokea watu huwa hawapotezi maisha? Upuuzi mtupu.

Mbowe anadai kila mwezi kuna watu 20 hadi 30 wanakufa kwa kuzama majini kapata wapi takwimu hizi, nani kathibitisha vifo hivyo. Yaani wafe watu 20 hadi 30 nchini halafu ajue Mbowe tu? Hata Rais awe hajui wala vyombo vya habari havijui wala wananchi waliopo maeneo ya usafiri wa maji hawajui?

Au ndio ule ule utamaduni wa Mbowe na genge lake wa kuwatangazia Watanzania kuwa watu wameua kwa mamia na miili inaokotwa kwenye ufukwe wa bahari lakini akiulizwa mamia waliofiwa wapo wapi hakuna anachoonesha, usanii mtupu.

Mbowe anataka viongozi wawajibike kwa matukio haya ya ajali. Mimi ningemuelewa zaidi kama yeye angeonesha mfano wa kuwajibika kuendesha siasa zisizo na tija na ambazo zinasababisha watu kufa akiwemo Akwelina Akwilini, Daudi Mwangosi, Chacha Wangwe na juzi tu msadizi wake.

Ningeelewa zaidi kama Mbowe angeonesha mfano wa kuwajibika kwa kuachia madaraka ya uenyekiti kutokana na anguko la chama chake linalotokana na kuhama kwa wabunge, madiwani na maelfu ya wanachama. Lengo si kuonesha umewajibika kama kiongozi mwenye dhamana? Aanze yeye ili tujue kuwa anaongoza kwa mifano.

Kwa kweli namshangaa sana Mbowe na kwa mwendo huu anatengeneza anguko lake kubwa sana kisiasa. Na kwa kuwa amekikumbatia chama chake cha CHADEMA anguko hili halitakuwa la Mbowe pekee yake litakuwa anguko pia la chama chake.

Nawasihi Watanzania tuwe makini na siasa za kichochezi za watu wa aina ya Mbowe. Bahati nzuri serikali imekaa vizuri sana kuwadhibiti wanasiasa wachochezi akiwemo yeye Mbowe. Naanza kuwaamini wanaosema kuwa sasa hivi Mbowe anajitoa ufahamu ili kutafuta huruma ya wananchi hasa wakati huu ambapo anakabiliwa na kesi mbaya ambayo kwa tunaojua mwenendo wa kisheria pale hataweza kuchomoka, kifungo kinamhusu vizuri sana.

Ifike mahali Watanzania tuongee lugha moja na tuachane na propaganda za kutuchelewesha. Kama anavyosema Rais Magufuli tumechelewa mno, sasa imetosha tuchape kazi tujenge nchi yetu.

Mwisho natoa pole kwa wote waliofikwa na msiba wa kuondokewa na jamaa zao katika ajali ya Mv Nyerere, pole kwa majeruhi wote na nawaombea mpone haraka.

Siku njema

Bw. Mpoki Ambonisye
Uyole, Mbeya
Mkuu mmiliki wa kivuko ni serikali, hivi watanzania wapoteze maisha na pasiwepo na yeyote wa kunyooshewa kidole? Jifunze kuheshimu mawazo ya wengine hata kama ni machungu. Kubadirisha injini pekee siyo ufumbuzi wa kuzuia ajali
 
Back
Top Bottom