Nimeamini Pasco Mayalla hataki uteuzi, anaupiga mwingi sana huku Sabasaba

Nimeamini Pasco Mayalla hataki uteuzi, anaupiga mwingi sana huku Sabasaba

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kama uteuzi ni kutafuta kipato na umaarufu basi Pasco Mayalla hauhitaji huo uteuzi maana vyote hivyo anavipata kwenye maonesho ya sabasaba.

Ukweli jamaa anaupiga mwingi sana kwenye maonesho ya sabasaba. Kila banda unamkuta mwandishi Pasco Mayalla anawaweka wafanyabiashara na wajasiriamali hewani.

Ukiwasha kila chaneli kubwa ya televisheni hapa Tanzania, unamkuta Pasco Mayalla kavimba akifanya matangazo yale ya moja kwa moja na yale ya kurekodiwa.

Nasikia sasa hivi jamaa anaonekana hapa kwenye vyombo vya habari vya nchini Kenya, Uganda na Rwanda.
Kila la kheri mwandishi nguli
 
Kama uteuzi ni kutafuta kipato na umaarufu basi Pasco Mayalla hauhitaji huo uteuzi maana vyote hivyo anavipata kwenye maonesho ya sabasaba.

Ukweli jamaa anaupiga mwingi sana kwenye maonesho ya sabasaba. Kila banda unamkuta mwandishi Pasco Mayalla anawaweka wafanyabiashara na wajasiriamali hewani.

Ukiwasha kila chaneli kubwa ya televisheni hapa Tanzania, unamkuta Pasco Mayalla kavimba akifanya matangazo yale ya moja kwa moja na yale ya kurekodiwa.

Nasikia sasa hivi jamaa anaonekana hapa kwenye vyombo vya habari vya nchini Kenya, Uganda na Rwanda.
Kila la kheri mwandishi nguli
Mkuu unaufahamu uteuzi lakini?

Pamoja na ukwasi wote ila cheo ndio cover mkuu..! Manji na mihela yote ile alikua diwani wa mbagala... Hahahaha


Kuhusu teuzi mmh..! Hapo tusidanganyane. Mwache Pascal afanye subira ataupata tu ipo siku
 
Rejea coment yangu ndio maana nimesema hiyo kazi sio ya kudumu itaisha kesho kutwa atarudi uraiani kupigwa njaa hadi nane nane tena nayo ikipita bado atarudi tena kupigwa njaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani anakula kwake na hajawahi kukuomba msaada hata siku moja, watanzania tuheshimu watu, wewe kama unakazi nzuri ni yako na familia yako na usitake watu wote wawe na maisha mazuri kama yako mkuu.
 
Nadhani anakula kwake na hajawahi kukuomba msaada hata siku moja, watanzania tuheshimu watu, wewe kama unakazi nzuri ni yako na familia yako na usitake watu wote wawe na maisha mazuri kama yako mkuu.
Kusema ana njaa sijamaanisha njaa kweli nimetumia kauli ya marehemu ndugu yangu wala sijamdharua tena namuheshimu sana tena sana hii nimeandika kama kusheheresha tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uteuzi ni kutafuta kipato na umaarufu basi Pasco Mayalla hauhitaji huo uteuzi maana vyote hivyo anavipata kwenye maonesho ya sabasaba.

Ukweli jamaa anaupiga mwingi sana kwenye maonesho ya sabasaba. Kila banda unamkuta mwandishi Pasco Mayalla anawaweka wafanyabiashara na wajasiriamali hewani.

Ukiwasha kila chaneli kubwa ya televisheni hapa Tanzania, unamkuta Pasco Mayalla kavimba akifanya matangazo yale ya moja kwa moja na yale ya kurekodiwa.

Nasikia sasa hivi jamaa anaonekana hapa kwenye vyombo vya habari vya nchini Kenya, Uganda na Rwanda.
Kila la kheri mwandishi nguli
ahahahaa umekuja kivingine umri unayoyoma vibaya sana
 
Kama uteuzi ni kutafuta kipato na umaarufu basi Pasco Mayalla hauhitaji huo uteuzi maana vyote hivyo anavipata kwenye maonesho ya sabasaba.

Ukweli jamaa anaupiga mwingi sana kwenye maonesho ya sabasaba. Kila banda unamkuta mwandishi Pasco Mayalla anawaweka wafanyabiashara na wajasiriamali hewani.

Ukiwasha kila chaneli kubwa ya televisheni hapa Tanzania, unamkuta Pasco Mayalla kavimba akifanya matangazo yale ya moja kwa moja na yale ya kurekodiwa.

Nasikia sasa hivi jamaa anaonekana hapa kwenye vyombo vya habari vya nchini Kenya, Uganda na Rwanda.
Kila la kheri mwandishi nguli
Sijawahi kumuona ebu tuwekee video yake ama picha tu tumuone.
 
Back
Top Bottom