Wahenga husema "hujafa hujaumbika" ila mi nasema "ukubwa ni jalala" sikutishi haitatokea Mtu yeyote akavunja rekodi ya ubishi wangu kuhusu uwepo wa uchawi ulimwenguni kote hadi yaliponikuta ila Mungu alinisaidia nikavuka hizo changamoto za kiroho.
Amini usiamini kila kitu kina pande mbili duniani; Bonde na mlima, mwanzo na mwisho, upend6na chuki, utajiri na umasikini, uchoyo na ukarimu, juu na chini, wingi na uchache, mchana na usiku, ukweli na uongo, faida na hasara, nene na nyembamba, mwanga na giza, kubwa na ndogo, ndefu na fupi, nene, iliyopinda, upole na ukali, tamu na chungu, nzito na nyepesi, dhoofu na imara, ndiyo na siyo, rahisi na ngumu n.k, hakikadhalika ishu za kiroho zina pande mbili "Mungu na Shetani" hulazimishwi kuamini ila habari ndiyo hiyo.
Ubinadamu ni kazi, The humanity is work.