kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Niko mapumzikoni kijijini kwetu huku kwenye moja ya mikoa ya kanda ya ziwa.
Sasa kuna sehemu hapa kijijini kwetu pana mti mkubwa watu wanapaogopa sana,wenyeji wanasema ikifika saa 1 jioni ndio mwisho wa kupita hapo vinginevyo tegemea kukutana na mambo ya ajabu.
Sasa mimi hivi ninavyoandika saa 8 usiku huu ndio nimerudi nyumbani kutoka matembezi yangu na nimekatisha hapo hapo wanapopaogopa wao na sijaona wala kukutana na kitu chochote cha ajabu.
Hivyo basi nimeconclude kwamba uchawi haupo,ni story tu za watu.
Sasa kuna sehemu hapa kijijini kwetu pana mti mkubwa watu wanapaogopa sana,wenyeji wanasema ikifika saa 1 jioni ndio mwisho wa kupita hapo vinginevyo tegemea kukutana na mambo ya ajabu.
Sasa mimi hivi ninavyoandika saa 8 usiku huu ndio nimerudi nyumbani kutoka matembezi yangu na nimekatisha hapo hapo wanapopaogopa wao na sijaona wala kukutana na kitu chochote cha ajabu.
Hivyo basi nimeconclude kwamba uchawi haupo,ni story tu za watu.