Hakika nimeamini silaha za maangamizi (nyuklia)ni silaha zinazoogopwa dunia nzima matokeo yake endapo mataifa makubwa yakitumia nadhani ndio mwisho wa sayari hii ya dunia ,kwa kitisho alichokitoa urusi kwa silaha za nyuklia na mataifa ya magharibi ku-surrender ni hakika silaha za kuogofya,na ndio mana mataifa kama Iran na Korea yanang'ang'ania kutengeneza ni hakika utaheshimika kwa kila taifa.