Apigane basi kama mbabe usSio anaogopa, maslahi ya dunia na vizazi vyake ndicho kitu anachozingatia.. kwa akili yako kabisa unahisi US hamwezi RUSSIA? Unadhani US nae akitoa nuclear zake utaandika hapa hata hii mada?
Duniani, nchi inayoongoza kwa kuwa na silaha za kinyuklia ni UrusiSio anaogopa, maslahi ya dunia na vizazi vyake ndicho kitu anachozingatia.. kwa akili yako kabisa unahisi US hamwezi RUSSIA? Unadhani US nae akitoa nuclear zake utaandika hapa hata hii mada?
Duniani, nchi inayoongoza kwa kuwa na silaha za kinyuklia ni Urusi
Waambie waanze kupiga waoneAta Nato pia wanazo.