Nimeamini wanaume hawaaminiki

Siyo vizuri kushinda na watu wasiyo size yako.

Hata watoto wadogo hawatakiwi kucheza na watoto wakubwa.

Ungeshinda na bachela mwenzako badala ya mke wa mtu.

Hapo ni sawa na swala kwenda kambi ya simba, na hivyo simba lazima ajaribu kitoweo.

Hapo jamaa aliwaza huyu binti anafuata nini hapa?

Majibu yaliyomjia ndiyo yalimfanya akutongoze maana ulijipeleka kwake.
 
Sijakataa kutongozwa ila tatizo mume wa mtu kwanini utongoze wakati mke unaye hakafu unamtongoza mtu wa karibu na kwako huogopiii?
Wapi imeandikwa waume za watu hawaruhusiwi kutongoza???


Kwann uende ukatongoze mbaaali wakati nyama zipo karibu??

Mbona wadada wasikuhizi wabishi kuelewa
 
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siyo w
Siyo wote, halafu ni maneno gani hayo unayoshindwa kuandika nahuku hapa tunatumia fake ID? We Sema alichokwambia huyo Mzee.
 
Siyo w

Siyo wote, halafu ni maneno gani hayo unayoshindwa kuandika nahuku hapa tunatumia fake ID? We Sema alichokwambia huyo Mzee.
Usiwe king'ang'a! Hayo maneno sijayaandika lakini story umeelewa
 
Hii ni kawaida na ndio asili, sio kwamba baba cate hampendi mkewe no,kuna mda kichwa cha chini kinafanya maamuzi yake binafsi bila kushirikisha cha juu.
Hadi na wewe unasema hivi! Wanaume wote hamuaminiki wasaliti wakubwa
 
Mpe bhana baba wa watu. Sio makosa yeye, tunatafuta dawa ya kidonda ambacho Mola alikiweka mbele ya shina la nyume zetu. Narudia tena, mpe utakuja kunishukuru. Ila fanyeni siri tu maake hata huyo atakayekuja kukuoa atakuwa ni wale wale

Sie wanaume ni mbwa
 
Usinifundishe tabia mbaya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…