Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kawaida hii.Nimeskia vishindo vya kutisha juu ya ardhi nilipokuwa naenda kujisaidia haja ndogo.Kiasi Kwamba nimeogopa hata kutizama dirisha la chooni nisije nikaona mambo ya ajabu.Nimejisaidia haraka Sana na. baada ya kumaliza nimekimbia Hadi kwenye kitanda changu na kujifunika blanketi huku mapigo ya moyo yakienda Kasi Sana.
Tumbo nalo lilinibana Sana mpaka nimepata Maumivu sababu ya uoga niliokuwa nao.Kipindi nimejifunika blanketi Hadi kichwani naskia mtu akikimbia na kuzunga nyumba yetu na ardhi ilikuwa inatetemeka "ndu ndu ndu ndu ndu"
Nilitamani kuwaamsha ndugu zangu ambao walikuwa kwenye usingizi wa fofofo na hawakujua chochote kinachoendelea.Kwenye hii nyumba yetu tumeshazoea Kila saa 5:30 usiku umeme lazima uzime BIla sababu ya msingi huku nyumba za Jirani zikiendelea kuwaka.
Hali inatisha Sana.
“Ndu ndu ndu ndu ”Sauti ya kishindo Cha ardhi kwa huyo mtuanayekimbia huku akizunguka nyumba yetu.
Hii nyumba ya Mama nimeishindwa Bora niondoke Nakosa amani kabisa.
kwani siku hizi hamlali na filimbi ndani? au anza kupiga ngoma au ndoo huku ukioiga kelele za kuomba msaada majirani wakusikie. au tuma taarifa kwenye whatsapp group lenu hapo mtaani.Sio kawaida hii.Nimeskia vishindo vya kutisha juu ya ardhi nilipokuwa naenda kujisaidia haja ndogo.Kiasi Kwamba nimeogopa hata kutizama dirisha la chooni nisije nikaona mambo ya ajabu.Nimejisaidia haraka Sana na. baada ya kumaliza nimekimbia Hadi kwenye kitanda changu na kujifunika blanketi huku mapigo ya moyo yakienda Kasi Sana.
Tumbo nalo lilinibana Sana mpaka nimepata Maumivu sababu ya uoga niliokuwa nao.Kipindi nimejifunika blanketi Hadi kichwani naskia mtu akikimbia na kuzunga nyumba yetu na ardhi ilikuwa inatetemeka "ndu ndu ndu ndu ndu"
Nilitamani kuwaamsha ndugu zangu ambao walikuwa kwenye usingizi wa fofofo na hawakujua chochote kinachoendelea.Kwenye hii nyumba yetu tumeshazoea Kila saa 5:30 usiku umeme lazima uzime BIla sababu ya msingi huku nyumba za Jirani zikiendelea kuwaka.
Hali inatisha Sana.
“Ndu ndu ndu ndu ”Sauti ya kishindo Cha ardhi kwa huyo mtuanayekimbia huku akizunguka nyumba yetu.
Hii nyumba ya Mama nimeishindwa Bora niondoke Nakosa amani kabisa.
Sasa mpaka mende mnawaogopa, mende usiku wa manane anakishindo kama cha wakoma(kibiblia zaidi), hii inatokana na eneo lote kuwa kimya.Sio kawaida hii. Nimeskia vishindo vya kutisha juu ya ardhi nilipokuwa naenda kujisaidia haja ndogo. Kiasi Kwamba nimeogopa hata kutizama dirisha la chooni nisije nikaona mambo ya ajabu. Nimejisaidia haraka sana na baada ya kumaliza nimekimbia Hadi kwenye kitanda changu na kujifunika blanketi huku mapigo ya moyo yakienda kasi sana.
Tumbo nalo lilinibana sana mpaka nimepata maumivu sababu ya uoga niliokuwa nao. Kipindi nimejifunika blanketi hadi kichwani naskia mtu akikimbia na kuzunga nyumba yetu na ardhi ilikuwa inatetemeka "ndu ndu ndu ndu ndu".
Pia soma: Vimbwanga vya nyumba za kupanga, wapangaji na wenye nyumba
Nilitamani kuwaamsha ndugu zangu ambao walikuwa kwenye usingizi wa fofofo na hawakujua chochote kinachoendelea. Kwenye hii nyumba yetu tumeshazoea Kila saa 5:30 usiku umeme lazima uzime BIla sababu ya msingi huku nyumba za Jirani zikiendelea kuwaka.
Hali inatisha sana.
“Ndu ndu ndu ndu” sauti ya kishindo cha ardhi kwa huyo mtuanayekimbia huku akizunguka nyumba yetu.
Hii nyumba ya Mama nimeishindwa Bora niondoke Nakosa amani kabisa.
😅Pole sana my love.. unakaa wap?....
usiogope wachawi!!!!...wewe amini MWENYE MBWA'usimwamini MBWA!!! manake usiogope mawakala wa shetani,mwogope MUNGU!!!Sio kawaida hii. Nimeskia vishindo vya kutisha juu ya ardhi nilipokuwa naenda kujisaidia haja ndogo. Kiasi Kwamba nimeogopa hata kutizama dirisha la chooni nisije nikaona mambo ya ajabu. Nimejisaidia haraka sana na baada ya kumaliza nimekimbia Hadi kwenye kitanda changu na kujifunika blanketi huku mapigo ya moyo yakienda kasi sana.
Tumbo nalo lilinibana sana mpaka nimepata maumivu sababu ya uoga niliokuwa nao. Kipindi nimejifunika blanketi hadi kichwani naskia mtu akikimbia na kuzunga nyumba yetu na ardhi ilikuwa inatetemeka "ndu ndu ndu ndu ndu".
Pia soma: Vimbwanga vya nyumba za kupanga, wapangaji na wenye nyumba
Nilitamani kuwaamsha ndugu zangu ambao walikuwa kwenye usingizi wa fofofo na hawakujua chochote kinachoendelea. Kwenye hii nyumba yetu tumeshazoea Kila saa 5:30 usiku umeme lazima uzime BIla sababu ya msingi huku nyumba za Jirani zikiendelea kuwaka.
Hali inatisha sana.
“Ndu ndu ndu ndu” sauti ya kishindo cha ardhi kwa huyo mtuanayekimbia huku akizunguka nyumba yetu.
Hii nyumba ya Mama nimeishindwa Bora niondoke Nakosa amani kabisa.
Ingawaje Watu wengi sana hapa wamechangia comments zao katika Hali ya mzaha na dhihaka, lakini ukweli mchungu sana ni kwamba thread hii ina 'content' ambayo ni nyeti sana kwa muktadha wa usalama na masuala ya 'public awareness' kuhusu suala zima la usalama kwenye makazi ya kuishi nyakati za usiku. Kwa kifupi kabisa ni kwamba, Operesheni nyingi sana za 'sabotage' huwa zinafanywa na wale 'jamaa' kuanzia muda wa saa 7 usiku au saa 8 usiku wa manane na kuendelea. Nyakati za asubuhi au mchana huwa zinatumika katika kujiandaa na operesheni zinazokuja au kwa ajili ya kutangaza matokeo ya operesheni zilizofanyika usiku.Sio kawaida hii. Nimeskia vishindo vya kutisha juu ya ardhi nilipokuwa naenda kujisaidia haja ndogo. Kiasi Kwamba nimeogopa hata kutizama dirisha la chooni nisije nikaona mambo ya ajabu. Nimejisaidia haraka sana na baada ya kumaliza nimekimbia Hadi kwenye kitanda changu na kujifunika blanketi huku mapigo ya moyo yakienda kasi sana.
Tumbo nalo lilinibana sana mpaka nimepata maumivu sababu ya uoga niliokuwa nao. Kipindi nimejifunika blanketi hadi kichwani naskia mtu akikimbia na kuzunga nyumba yetu na ardhi ilikuwa inatetemeka "ndu ndu ndu ndu ndu".
Pia soma: Vimbwanga vya nyumba za kupanga, wapangaji na wenye nyumba
Nilitamani kuwaamsha ndugu zangu ambao walikuwa kwenye usingizi wa fofofo na hawakujua chochote kinachoendelea. Kwenye hii nyumba yetu tumeshazoea Kila saa 5:30 usiku umeme lazima uzime BIla sababu ya msingi huku nyumba za Jirani zikiendelea kuwaka.
Hali inatisha sana.
“Ndu ndu ndu ndu” sauti ya kishindo cha ardhi kwa huyo mtuanayekimbia huku akizunguka nyumba yetu.
Hii nyumba ya Mama nimeishindwa Bora niondoke Nakosa amani kabisa.
Hili nalo mkalitazameDuh...!.
P