Huna msimamo. Mwanaume akiamua harudi nyuma. Unasonga mbele kwa mwendo wa farasi au kinyonga.huu ushauri unaukweli kiasi flani hivi, ngoja niufanyie kazi mwezi huu mmoja nikisubiri nyongeza
Kazi usiache moja kwa moja, kwanza chukua mkopo nmb, au bank yoyote wekeza ktk biashara zako kisha chukua likizo isiyo na malipo ya miaka mitatu ili uangalie biashara zinaenda vp maana some time mambo yanaweza kugoma! Ukiona biashara haziendi unaweza kurudi kazini muda wowote! Sio lazima miaka mitatu ikatike.Kushirikishana sio vibaya, toka nimeajiliwa huu mwaka wa nane sasa, sijawahi pandishwa dalaja. Nina mradi wa kuku na biashara nyingine ndogondogo tatu, nikijumlisha mapato yake ni mara mbili ya mshahara ninaopata, pia kazini nabanwa sana mda naona nikiacha kazi nitaboresha biashara zagu na kupanua zaidi, ngoja nisubiri mwezi wa saba asipoongeza tu naiaga ajira sioni faida kabisa.
Hivi likizo bila malipo ipo kweli awamu hii?Kazi usiache moja kwa moja, kwanza chukua mkopo nmb, au bank yoyote wekeza ktk biashara zako kisha chukua likizo isiyo na malipo ya miaka mitatu ili uangalie biashara zinaenda vp maana some time mambo yanaweza kugoma! Ukiona biashara haziendi unaweza kurudi kazini muda wowote! Sio lazima miaka mitatu ikatike.