mkalusanga
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 369
- 446
Sasa ukiacha kuupaka ray atautoa wapi manake naona mlikuwa mnapaka wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
STAA mwenye umbo la kipekee katika soko la filamu Bong o, Ruth Suka Mainda amefunguka kuwa ameamua kuukacha mkorogo aliokuwa akiutumia kwa muda mrefu.
Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema ameamua kuacha kutumia mkorogo kutokana na matakwa ya dini yake, amegundua anamkosea Mungu wake kwa kujichubua
.
Nimeamua tu kuacha kujichubua, mkorogo siyo kitu kizuri hata Mungu hapendi vitu hivi ndiyo maana nikaamua kuuacha japo nimetumia kwa muda mrefu, alisema Mainda ambaye kabla ya kuokoka alikuwa Muislamu.