Nimeamua kuachana naye baada ya kuniambia maneno haya

Nimeamua kuachana naye baada ya kuniambia maneno haya

Oya kuwa na heshima basi huyo mamsii sio malaya ni kitu ya kueleweka ukiisorora unaeza sanda
Unafikiri ni kila malaya atakuambia yeye ni malaya pole kama ulikua hujui hilo Kuna pigo flani hivi mwanamke akikufanyia unajiongeza unajua hapa hamna kitu-ungekua unakaa dar wala asingekupa shida samahani kama nimekukosea wewe ni mshamba
 
Unafikiri ni kila malaya atakuambia yeye ni malaya pole kama ulikua hujui hilo Kuna pigo flani hivi mwanamke akikufanyia unajiongeza unajua hapa hamna kitu-ungekua unakaa dar wala asingekupa shida samahani kama nimekukosea wewe ni mshamba
Sema nini. Mimi sikuwa nimezoea hizo mbanga maana mimi ni mseminari asee
 
Toka hapa kavae mitumba😂😂😂wakuja
We ndo mjaku bablai sisi machalii born townica long kitambo dingi hatunaga mbaga za kiwaki kama nyie wenye jealous za kimakumaku mna hate watu kisoro tu. Fatilia njaro zako jombaa.
 
Mbona 'kuloweka' unaweza 😄😄😄. Ungekuwa mdogo usingekuwa na uwezo wa kuloweka 😎😎😎
Sema unajua mbanga zingine tunafanyaga sababu sisi ni machalii ya gero ila ile kishua huwa inakataa bablai.
 
We ndo mjaku bablai sisi machalii born townica long kitambo dingi hatunaga mbaga za kiwaki kama nyie wenye jealous za kimakumaku mna hate watu kisoro tu. Fatilia njaro zako jombaa.
We Kiande kafia mbele unafosi lugha huzijui 😂😂😂pita kushoto ndo ulete Uzi wa kishamba ivi uko na matatizo kweny kichwa ...kavae midosho na manguo oversize kama bodaboda
 
Mnaongea vibaya!!!!yaani utoke Tz uache visu ukahangaike na mapanga ya Kenya!Bora alivyokukomesha😁
 
We Kiande kafia mbele unafosi lugha huzijui 😂😂😂pita kushoto ndo ulete Uzi wa kishamba ivi uko na matatizo kweny kichwa ...kavae midosho na manguo oversize kama bodaboda
Kaniudhiii...
 
Back
Top Bottom