Nimeamua kuachana naye kwa sababu ana mahusiano na wanaume wengi

Umeandika kama jamaa ambaye bado anampenda huyo demu ila ndio hivyo tena.
huyo kwa sasa mtumie tu kujipa uzoefu zaidi. Tumia kondom
 
Apo kwa uume hapo Mkuu umekosea mahesabu.

Eti uume wako ni mdogo ila mrefu unaumiza tumbo.

Ooliskia wapi?
 
Mkuu una steless [emoji23]... kunywa maji kwanza then uandike upya
 
Wavulana Wana kazi Sana.
Tafuta hela dogo.
Zitakupunguzia kulia lia
 
Mkuu tuliza akili half uandike vzr, sasa wewe kama unaona humtaki unalia lia nini, chukua 50 zako tembea aendelee kula bata na wengine.

Demu hana mzuka na wewe ila wewe ndiyo unamzuka naye na unajitahid kumsahau lakn unashindwa.

Hlf kujisifu kuwa umepiga 46 siyo sifa hiyo mkuu, Hakuna aliyepewa cheti cha pongezi kwa kula papuchi[emoji2359][emoji2359][emoji2359]
 
Unajishughulisha na nini hapa mjini?!
Ananishugulisha na nini tena[emoji2957][emoji2957][emoji2957], amespelize kuchata papuchi basi, half nahisi ni vijana wa miaka ya 2000s tena atakuwa mwafnz
 
Haya sasa kumekuchaaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Anaitwa nani mkuu? Maana kutokana na maelezo yako nahisi nami Nimepita hapo[emoji102]
 
Mtoto wa watu kakukubalia Leo unamuita Malaya VP kama angekukatalia ungemuitaje??
 
Katubu na umridie Muumba wako kuwa na wanawake wengi sio sifa kuwa makini utazikwa na kilo 2 bro
 
Hivi umekula na kushiba mbona una akili kama chawa, huyo demu kakuona huna hela, huna mvuto pia huwezi kumridhisha sasa endelea kuwa chawa bwege wewe.
 
Unajua watu mnachukua malaya huko mnakokutana machimbo ya umalaya mnageuzana wapenzi then mnakuja kuanzisha uzi zisizo eleweka huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…