bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,215
- 322
Nimeamua kuanza kuuza viazi mviringo na mtaji wa tsh 50 000.ambapo nitaanza na debe tano
>kununua tsh7000/debe*5=35000
>usafiri 10 000
>mengineyo 5000.
jumla 50 000
>nategemea kuuza 20 000/debe *5= 100 000..
niko mwanza nitatoa tarime. pia baadaye naweza anzisha kuchoma chips.
kama kuna nyongeza naomba ushauri!
>kununua tsh7000/debe*5=35000
>usafiri 10 000
>mengineyo 5000.
jumla 50 000
>nategemea kuuza 20 000/debe *5= 100 000..
niko mwanza nitatoa tarime. pia baadaye naweza anzisha kuchoma chips.
kama kuna nyongeza naomba ushauri!