Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikutarajia kama nitacheka kwa alivyojieleza mdau ila imenibid nicheke. Umemuuliza ukweli kabisa.
Duh Pole sana Mkuu. Ila Umenishtua sana. Sasa mteja akitaka vyote utabaki na nini?
heshima kwenu wanandugu...
Nayapenda sana maisha yangu na ninapenda sana nifanikiwe maishani hivyo sina budi kufanya hivi ili kusonga mbele. mimi ni mwanachuo katika chuo mojawapo hapa tz na kwasasa nina hali ngumu sana ya kifedha licha ya kujaribu njia tofauti ili kujikwamua na kusonga mbele.
Ninataka kuuza baadhi ya VIUNGO vya mwili wangu ili nipate walau ada ya kuendelea na masomo yangu niwe na maisha mazuri niweze kuwasaidia wadogo zangu na familia kwa ujumla.
Afya yangu kwa ujumla ni nzuri (99% uhakika) na ninataka niuze;
~FIGO ~KONGOSHO ~MBEGU ZA KIUME au DAMU ikiwezekana. hapa nachoomba kutoka kwenu ni kama kuna mtu yeyote anaejua ni hospitali gani au taasisi gani inanunua bidhaa hizo?. i am very serious and i will apreciate you contribution
Kusoma sana nikuogopa maisha, unaweza kutoa viungo vyako kwa ajili ya elimu lkn hata mwaka wa masomo usimalize ukapata tatizo la kifya na viungo ulivyotoa vinahitajika tena, unafkiri utakua na pesa ya kuvirudisha tena?? na nani atakua tayari kukuuzia??
Afya njema ni utajiri kuliko kitu kingine ndugu..
Kuna mlevi aliniambia kuwa wanaokimbilia masomo ya uzamili baada tu ya shahada za kwanza ni waoga wa changamoto za maisha. wanataka kujificha chini ya mwamvuli wa elimu.
heshima kwenu wanandugu...
Nayapenda sana maisha yangu na ninapenda sana nifanikiwe maishani hivyo sina budi kufanya hivi ili kusonga mbele. mimi ni mwanachuo katika chuo mojawapo hapa tz na kwasasa nina hali ngumu sana ya kifedha licha ya kujaribu njia tofauti ili kujikwamua na kusonga mbele.
Ninataka kuuza baadhi ya VIUNGO vya mwili wangu ili nipate walau ada ya kuendelea na masomo yangu niwe na maisha mazuri niweze kuwasaidia wadogo zangu na familia kwa ujumla.
Afya yangu kwa ujumla ni nzuri (99% uhakika) na ninataka niuze;
~FIGO ~KONGOSHO ~MBEGU ZA KIUME au DAMU ikiwezekana. hapa nachoomba kutoka kwenu ni kama kuna mtu yeyote anaejua ni hospitali gani au taasisi gani inanunua bidhaa hizo?. i am very serious and i will apreciate you contribution
pole sana ndugu yangu lakini sikubaliani na wazo la kuuza baadhi ya viungo. kama ulivosema umejaribu kutafuta pesa but imekuwa ngumu, nakushauri u-keep trying hard kwani siku zote sio rahisi. waweza ahirisha hata mwaka ili upate muda wa kutosha kutafuta pesa
heshima kwenu wanandugu...
Nayapenda sana maisha yangu na ninapenda sana nifanikiwe maishani hivyo sina budi kufanya hivi ili kusonga mbele. mimi ni mwanachuo katika chuo mojawapo hapa tz na kwasasa nina hali ngumu sana ya kifedha licha ya kujaribu njia tofauti ili kujikwamua na kusonga mbele.
Ninataka kuuza baadhi ya VIUNGO vya mwili wangu ili nipate walau ada ya kuendelea na masomo yangu niwe na maisha mazuri niweze kuwasaidia wadogo zangu na familia kwa ujumla.
Afya yangu kwa ujumla ni nzuri (99% uhakika) na ninataka niuze;
~FIGO ~KONGOSHO ~MBEGU ZA KIUME au DAMU ikiwezekana. hapa nachoomba kutoka kwenu ni kama kuna mtu yeyote anaejua ni hospitali gani au taasisi gani inanunua bidhaa hizo?. i am very serious and i will apreciate you contribution