- Thread starter
- #21
wekense ni wapi huku mkuu?Kwamtoro-farkwa-Tumbakose-Rofati-Gwandi!!
Rofati Kuna wamasai kina msando,kilo n.k Kuna maeneo ya kuchungu ya kutosha kama kule wekense!lakini kiangazi nyasi zipo kiasi!!bends ujaribu mkuu!!!,2009/2010 nilikuwepo hapo!!