Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 897
Kwahiyo bei ya 8.5 na mwonekano wa picha kama haina tatizo kweli, ni kama kaigawa aiseeKuigawa maana yake unaitoa bure
Na naruhusu uje na fundi wako ukague vizuri kabla ya kuinunua.Kwahiyo bei ya 8.5 na mwonekano wa picha kama haina tatizo kweli, ni kama kaigawa aisee
Ukikopeshwa unaruhusiwa kubaki na kadi original ya gari?Aisee Mrosso umelipa kodi kweli? Hii gari haujachukulia mkopo aisee jombaaa
Nina verosa yangu pia nauza 3.5M cash,kama unayo njoo nayo nikupe,nayo iko dodomaSasa nikuulize swali: ukishaiuza wewe utatembelea nini?
Ngoja tuangalie credit bureau kama napo hudaiwiNa naruhusu uje na fundi wako ukague vizuri kabla ya kuinunua.
Hebu weka picha ya verosa tuona tunasaidianajeNina verosa yangu pia nauza 3.5M cash,kama unayo njoo nayo nikupe,nayo iko dodoma
Kwani kila mtu ana gari moja mkuu?
Ina miaka mingapi tangu iundwe?Kwahiyo bei ya 8.5 na mwonekano wa picha kama haina tatizo kweli, ni kama kaigawa aisee
Duu kuna maswali mengineSasa nikuulize swali: ukishaiuza wewe utatembelea nini?
Uko serious nitext whatsap 0767833496Hebu weka picha ya verosa tuona tunasaidianaje
Hii kadi ni photocopy mkuu, dom napo siku hizi kuna wajajnjaz kama darCAR FOR SALE
MAKE ; Toyota
MODEL ; Prado
COLOUR ; Silver
Cc ; 2690
YEAR ; 1999
NUMBER ; C
ENGINE ; 3RZ
PISTON ; Four
IMPORTED YEAR ; 2013
MODE OF TRANSMISSION ; automatic
FUEL USE ; Petrol
PRICE ; 8,500,000/=(sipunguzi bei)
NB : THE CAR IS AVAILABLE FOR IMMEDIATE
SALE -Gari iko Dodoma
-Gari haina tatizo lolote njoo na fundi wako akague tufanye biashara
-Full documents
+255767833496
+255622111186View attachment 1082291View attachment 1082292View attachment 1082293View attachment 1082294View attachment 1082295View attachment 1082296
Ndio ni kopy mkuu kwaajili ya kusoma detailsHii kadi ni photocopy mkuu, dom napo siku hizi kuna wajajnjaz kama dar
PooaUko serious nitext whatsap 0767833496View attachment 1082305View attachment 1082306
Hio laki 5 kwenye hio milioni nane ni cha juuYani madalali bwana ni watu wa ajabu sana
Hi prado nimeikuta Instagram inauzwa 10M
Hiyo Verossa nayo nimeikuta mahali kwa 5M
Hawaoni kama wanamharibia biashara bosi?Unaweza kuta hata hizi bei za hapa ni cha juu over cha juu..Cha juu hakikatazwi ila chain ya cha juu ikiwa kubwa inakula kwa muuzaji.