Yani madalali bwana ni watu wa ajabu sana
Hi prado nimeikuta Instagram inauzwa 10M
Hiyo Verossa nayo nimeikuta mahali kwa 5M
Hawaoni kama wanamharibia biashara bosi?Unaweza kuta hata hizi bei za hapa ni cha juu over cha juu..Cha juu hakikatazwi ila chain ya cha juu ikiwa kubwa inakula kwa muuzaji.