spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,156
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good start. All the best!Nitakuwa natoa taarifa ya maendeleo kupitia uzi huu.. Stefano Mtangoo Chief-Mkwawa na wengineo naomba muwe mentors wangu...
Asante sana....nitakuwa nakuita kila ninapo-progressGood start. All the best!
Za jioni wakuu,
Napenda kujifunza vitu vipya na kuanzia jumatatu ya wiki hii nimeanza kujifunza programming language ya python. IT sio fani yangu niliyosomea ila nataka nianze kutengeneza applications kama hobby na kujifunza kitu kipya.
Background ya IT : nilishawahi kujifunza HTML kama miaka 4 iliyopita kwa kutumia online tutorials nadhani nimeshasahu mengi.
Resources : Nimeamua kutumia Codecademy kama chanzo changu cha taarifa kwa sababu ni free na kozi zao ziko simple na well structured na kila hatua kuna mazoezi ya kufanya yanayosaidia kuelewa zaidi.
Nilipofikia: mpaka sasa nimemaliza asilimia 28 ya kozi nzima(nimetumia siku tatu - angalau saa moja kila siku) nimejifunza Syntax, Strings and Console, Conditionals and Control Flow sasa najiandaa kuanza Functions.
Malengo: Nategemea kumaliza kozi yangu ndani ya wiki mbili au tatu na kutengeneza application itakayosaidia kuorganize taarifa za wagonjwa wanapofika hospitali nia iwe kupunguza muda anaotumia mgonjwa hospitalini au application yoyote itakayofanana na hiyo.
Changamoto : Kutokana na niiyojifunza, nimetengeneza application inayoitwa JF Saccos ambayo mteja anaandika jina na umri. Nimeweka condition kuwa kwenye kuandika jina liandikwe bila kuweka namba yoyote na ikiwekwa namba basi apewe taarifa kuwa 'amekosea na aanze upya' jambo ambalo nimefanikiwa ila kwenye umri nimejaribu kuweka condition iwe zaidi ya miaka 18 na akikidhi vigezo akaribishwe na sentesi "Hongera ndugu %s, mwenye miaka %s,umefanikiwa kufungua akaunti" na akiwa chini ya miaka 18 apewe taarifa kuwa "Hairuhusiwi Wenye Umri Chini Ya Miaka 18". Ila tatizo hata nikiweka chini ya miaka 18 bado inakubali. Sijaelewa nini shida kwenye code. Walimu mnaweza kunisaidia. Mnaweza kuicheki hapa na nimeweka screenshot chini.
View attachment 546863 View attachment 546864
Embu jaribu izo code.....CODE:
print "KARIBU JF SACCOS"
from datetime import datetime
date = datetime.now()
print "Leo ni tarehe %s" %date
print "Jina lako"
name=raw_input()
print "Andika umri wako"
age = input()
if age > 18:
print "Hongera ndugu %s, mwenye miaka %s,umefanikiwa kufungua akaunti" %(name,age)
else:
print "Hairuhusiwi Wenye Umri Chini Ya Miaka 18"
Iki kubali rudisha marejesho.Embu jaribu izo code.....
Thanks ila kuna best version ya ndugu @Arduino Sentinel hapo juu naona inafaa....Embu jaribu izo code.....
Python ina learning curve ndogo sana kulinganisha na programming language nyingine kama java na c++ kama hujawahi kujifunza hizi. Lakini kwa namna Python ilivyokuwa simplified kwa navyoona mimi siyo language bora kujifunzia programming kwa ule usimpo wake kwa kuwa haifuati sana principle za programming language zile maarufu kama c++ na java.
kwa mfano katika Python huna haja ya kuspecify variable type, unaipa jina tu basi. lakini hizi nyingine huwezi. control loops zake na vitu vingine ni vyakivyake. Ukitoka kusoma hii afu huje kwa mama zake inakuwa mtihani kidogo.
All in All all the best.
Kwa kujifunza IDE haifai. Atumie tu Editor (Geany, Sublime, TextMate, et al) na Terminal, zinamtosha kwa sasa!Nakufuatilia kiongozi naona nami najifunza Ila download rodeo ide pia uwe unapiga hapo code zako pia hii ni Python ya nyuma I think siyo 3.6 sababu kwenye 3 hiyo raw input haipo na lazima kuwe na brackest kwenye print. All in all unaenda vizuri
Yani huyu root nilitaka kujua kona zake tu, leo nimemkuta huku naanza kupprove baadhi ya mambo maana anajina kubwa kweli!
Yani huyu root nilitaka kujua kona zake tu, leo nimemkuta huku naanza kupprove baadhi ya mambo maana anajina kubwa kweli!
Nakufuatilia kiongozi naona nami najifunza Ila download rodeo ide pia uwe unapiga hapo code zako pia hii ni Python ya nyuma I think siyo 3.6 sababu kwenye 3 hiyo raw input haipo na lazima kuwe na brackest kwenye print. All in all unaenda vizuri