Python Newbie
Member
- Jul 17, 2017
- 77
- 50
- Thread starter
-
- #41
Noted mkuu.... nadhani Codecademy wanatumia version ya zamani baada ya muda wata-update nadhani. Nikimalliza kozi yote ndio nitaangalia version mpya zina nini cha ziada.Kwa kujifunza IDE haifai. Atumie tu Editor (Geany, Sublime, TextMate, et al) na Terminal, zinamtosha kwa sasa!
Atakuwa anatumi Py2.x na kama ameshaanza hivi ni bora akamaliza halafu aende kwenye changelog kujua nini kimebadilika. BTW Software nyingi sana zimegoma kuhamia 3.x na zingine zipo kwenye movement (zikiwemo maktaba muhimu kama wxPython). So hajapotea njia 😉
Kuna trick nyingi ila naona rahisi ni kutumia While loopMkuu nilijisahau kidogo inapatikana HAPA
name=raw_input('Andika Jina Lako:')
if name.isalpha():
print name
else:
print "Umekosea Rudia Tena"
while True:
name=raw_input('Andika Jina Lako:')
if name.isalpha():
print name
break
else:
print "Umekosea Rudia Tena"
Umenikumbusha mbali sana! Wabongo sio watu wazuri....Miaka fulani tulikuwa tunafanya brainstorming maeneo flan huku tukipata "The cold ones" jinsi ya kupunguza cue kwenye mabenki yetu kwa kuweka utaratibu maalumu numbers kwa wateja...Haikupita Mwezi mmoja watu waka-introduce new app CRDB....Mtoa mada, mie sina utaalam wa mambo ya telnolojia (IT) ila naona hapa watu wamelidaka wazo lako la kutengeneza hiyo programu unayotaka kuiandaa kwa ajili ya hospitali na hapa wanalifanyia kazi chini chini ili wauze kwenye hospitali.
Ila naweza kuwa nimewaza vibaya pengine hakuna aliyewaza kukuibia wazo lako na kwenda kulifanyia kazi badala ya kukusaidia.
Kila ka kheri.
Umenikumbusha mbali sana! Wabongo sio watu wazuri....Miaka fulani tulikuwa tunafanya brainstorming maeneo flan huku tukipata "The cold ones" jinsi ya kupunguza cue kwenye mabenki yetu kwa kuweka utaratibu maalumu numbers kwa wateja...Haikupita Mwezi mmoja watu waka-introduce new app CRDB....
Hata mimi nimeanza kuipitia python...Noted mkuu.... nadhani Codecademy wanatumia version ya zamani baada ya muda wata-update nadhani. Nikimalliza kozi yote ndio nitaangalia version mpya zina nini cha ziada.
Hata mimi nimeanza kuipitia python...
Pitia hizi site zitakusaidia...
Learn Python the Hard Way
Hello, World! - Learn Python - Free Interactive Python Tutorial
Good ! Noted Mkuu... Karibu tushirikiane
Thanks nitapitia...je kuna small projects ushafanya na python ? wewe ni IT expert au hobbyist kama mimi ?
Mbona unatapika ma idea, nikikuibia utanishtaki
Small minded people will never understand
Ukimaliza Basics za Python unaweza anza kufanya vitu interesting kwa wxPython (GUI), au DJango (Web)
Kwa sasa endelea kujifunza basics mpaka umalize!
Keep pressing on...!
Pamoja kiongoziAll the best.
Namshauri akimaliza basics, asome alot of python code. Wakati huo huo aanze kudevelop web applications kwa kutumia microframeworks kwa mfano flask, webpy, bottle, wheezyweb etc, zote hizo ni za Python. Write and Read alot of code!Ukimaliza Basics za Python unaweza anza kufanya vitu interesting kwa wxPython (GUI), au DJango (Web)
Kwa sasa endelea kujifunza basics mpaka umalize!
Keep pressing on...!