Nimeamua kujifunza Python programming

Nimeamua kujifunza Python programming

Site ilikua na muelekeo hiyo, nimeijaribu hata mimi kama five times nikajua mmeipotezea moja kwa moja. Kama shida ni server nina cloud server kibao AWS na DigitalOcean unaweza tumia moja ukahost bila shida.
Twende PM
 
Sawa sawa mdau. I am working on my account to be verified ili niweze fanya kazi na wadau wenzangu wa humu jamii forums ambao mnajaribu kutatua changamoto mbali mbali kwenye jamii kupitia TEHAMA
Ile ilikuwa dedicated ONLY to Software Engineering. So ilikuwa complement nzuri kwa hili jukwaa.
 
Any device capable of running python interpreter. Lakini App yake haitaport vizuri kwenye mobile devices. Python interpreter ni nzito kiaina. Na kila MTU anayetaka kurun hiyo app inabidi awe na interpeter
Thanks kwa kunijibia vizuri zaidi
 
Any device capable of running python interpreter. Lakini App yake haitaport vizuri kwenye mobile devices. Python interpreter ni nzito kiaina. Na kila MTU anayetaka kurun hiyo app inabidi awe na interpeter
ahsante mkuu
 
naombani msaada wenu nilikua na install buildozer kwaajili ya android app wit python lakini inan iletea hii error ...

# Buildozer failed to execute the last command
# If the error is not obvious, please raise the log_level to 2
# and retry the latest command.
# In case of a bug report, please add a full log with log_level = 2
 
Za jioni wanajamii,
naomba msaada kwa yoyote atakayeweza kunisaidia...

Nimeandika calculator ya menu ya chakula pamoja na bei...yani inabpiga hesabu kutokana na vyakula unavyochagua then inakupa gharama ya jumla halafu kama gharama ni zaidi ya elfu 10 inamtaarifu mtoa huduma kuwa mteja apewe punguzo la bei ila kama ni chini ya 10 inamtaarifu kuwa mteja hatakiwi kupewa punguzo la bei.

Sasa shida ni hapo mwisho ambapo hata kama jumla ya gharama ni chini ya elfu 10 bado program inatoa taarifa kuwa mteja apewe punguzo la bei.

code ni hizo hapo naomba msaada

Code:
def breakfast(asubuhi):
  if asubuhi=="chai":
    return 1000
  if asubuhi=="maziwa":
    return 2000
def lunch(mchana):
  if mchana=="wali":
    return 2500
  if mchana=="pilau":
    return 3000
def dinner(usiku):
  if usiku=="viazi":
    return 4000
  if usiku=="ndizi":
    return 7000
def gharama(asubuhi,mchana,usiku):
  return breakfast(asubuhi)+lunch(mchana)+dinner(usiku)
 
asubuhi=raw_input("Kifungua kinywa (chai au maziwa ?)")
mchana=raw_input("Chakula cha mchana(wali au pilau?)")
usiku=raw_input("Chakula cha usiku(viazi au ndizi)")

print "gharama ni tz sh. %s" %gharama(asubuhi,mchana,usiku)

if gharama<10000:
  print "hakuna punguzo la bei"
if gharama>10000:
  print "toa punguzo la bei"

Stefano Mtangoo Arduino Sentinel Andy Kawa Graph
 
Jitahidi kutumia if na else sio if peke yake.
Alafu kosa lako angalia mwishoni kwenye gharama. Kwanza print umetumia %s, gharama hairudishi string, inarudisha int, even though sawa python doesn't care.

ila jibu kwa nini haliji sawa angalia after printing hapo chini umeanza if gharama<10000
sasa umesahau kua gharama ni function na sio variable?? Function inahitaji arguments upitishe na sio kuassume kua ukiita mara moja then inageuka kua variable.
Inatakiwa udeclare variable ambayo itatunza jibu linalokua returned na hiyo function yako ya gharama then tumia hiyo variable kufanya comparison unazotaka

Code:
//store jibu linatokua returned kutoka kwenye function ya gharama into variable jumla.
jumla = gharama(asubuhi, mchana, usiku)

//Print %d kwa kua ni integers, sawa %s ingefanya ila ni vizuri kua specific
print "gharama ni %d" %jumla

//tumia jumla kucheck if statement zako sio gharama coz gharama ni function usipoipa arguments italeta garbage
if jumla < 10000 :
   //print kitu flani
else :
   //print kitu flani

Jitahidi kutumia if and else badala ya kufanya comparisons mara mbili. CPU haipendi kuichosha bila sababu. Computer ikiona if inajaribu kuchukua hiyo jumla na kucompare na 10000 hiyo ni calculation inafanyika, ikikuta hiyo condition sio kweli inaendelea mbele, sasa mbele ikikutana na if nyingine inafanya computation tena, wastage of resources. Ila kama ungereplace if na kuweka else maana yake baada ya kucompare if ya pale juu hapo chini haifanyi tena comparison inatoa jibu tu, unakua umesave computation ambayo ni unnecessary.

Kwa app ndogo kama hii inaweza isimatter ila ukianza kuandika app kubwa sana ambazo speed ni key, mistakes ndogo kama hizi ni za kuconsider.

Jifunze pia na switch statements, zitakufupishia sana code.
Kaza buti mtanzania. Endelea kukomaa
 
Jitahidi kutumia if na else sio if peke yake.
Alafu kosa lako angalia mwishoni kwenye gharama. Kwanza print umetumia %s, gharama hairudishi string, inarudisha int, even though sawa python doesn't care.

ila jibu kwa nini haliji sawa angalia after printing hapo chini umeanza if gharama<10000
sasa umesahau kua gharama ni function na sio variable?? Function inahitaji arguments upitishe na sio kuassume kua ukiita mara moja then inageuka kua variable.
Inatakiwa udeclare variable ambayo itatunza jibu linalokua returned na hiyo function yako ya gharama then tumia hiyo variable kufanya comparison unazotaka

Code:
//store jibu linatokua returned kutoka kwenye function ya gharama into variable jumla.
jumla = gharama(asubuhi, mchana, usiku)

//Print %d kwa kua ni integers, sawa %s ingefanya ila ni vizuri kua specific
print "gharama ni %d" %jumla

//tumia jumla kucheck if statement zako sio gharama coz gharama ni function usipoipa arguments italeta garbage
if jumla < 10000 :
   //print kitu flani
else :
   //print kitu flani

Jitahidi kutumia if and else badala ya kufanya comparisons mara mbili. CPU haipendi kuichosha bila sababu. Computer ikiona if inajaribu kuchukua hiyo jumla na kucompare na 10000 hiyo ni calculation inafanyika, ikikuta hiyo condition sio kweli inaendelea mbele, sasa mbele ikikutana na if nyingine inafanya computation tena, wastage of resources. Ila kama ungereplace if na kuweka else maana yake baada ya kucompare if ya pale juu hapo chini haifanyi tena comparison inatoa jibu tu, unakua umesave computation ambayo ni unnecessary.

Kwa app ndogo kama hii inaweza isimatter ila ukianza kuandika app kubwa sana ambazo speed ni key, mistakes ndogo kama hizi ni za kuconsider.

Jifunze pia na switch statements, zitakufupishia sana code.
Kaza buti mtanzania. Endelea kukomaa
asante sana kiongozi..ngoja nifanyie kazi huo ushauri
 
Jitahidi kutumia if na else sio if peke yake.
Alafu kosa lako angalia mwishoni kwenye gharama. Kwanza print umetumia %s, gharama hairudishi string, inarudisha int, even though sawa python doesn't care.

ila jibu kwa nini haliji sawa angalia after printing hapo chini umeanza if gharama<10000
sasa umesahau kua gharama ni function na sio variable?? Function inahitaji arguments upitishe na sio kuassume kua ukiita mara moja then inageuka kua variable.
Inatakiwa udeclare variable ambayo itatunza jibu linalokua returned na hiyo function yako ya gharama then tumia hiyo variable kufanya comparison unazotaka

Code:
//store jibu linatokua returned kutoka kwenye function ya gharama into variable jumla.
jumla = gharama(asubuhi, mchana, usiku)

//Print %d kwa kua ni integers, sawa %s ingefanya ila ni vizuri kua specific
print "gharama ni %d" %jumla

//tumia jumla kucheck if statement zako sio gharama coz gharama ni function usipoipa arguments italeta garbage
if jumla < 10000 :
   //print kitu flani
else :
   //print kitu flani

hii option imegoma kiongozi Graph
 
Ukiwa kama mtaalam neno imegoma waachie wanasiasa. mtaalam unapaswa kuwa detailed: useme tatizo ni nini unapata ujumbe gani na full stack trace. Otherwise ni vigumu kupata msaada

Hata sielewi shida ilikuwa nini maana nimerudia tena kufanya kama nilivyofanya mwanzo na imekubali..sijui nini ilikuwa tatizo ila nilifanya hivi ikakataa ila sasa imekubali....
Code:
def breakfast(asubuhi):
  if asubuhi=="chai":
    return 1000
  if asubuhi=="maziwa":
    return 2000
def lunch(mchana):
  if mchana=="wali":
    return 2500
  if mchana=="pilau":
    return 3000
def dinner(usiku):
  if usiku=="viazi":
    return 4000
  if usiku=="ndizi":
    return 7000
def gharama(asubuhi,mchana,usiku):
  return breakfast(asubuhi)+lunch(mchana)+dinner(usiku)
 
asubuhi=raw_input("Kifungua kinywa (chai au maziwa ?)")
mchana=raw_input("Chakula cha mchana(wali au pilau?)")
usiku=raw_input("Chakula cha usiku(viazi au ndizi)")

print "gharama ni tz sh. %s" %gharama(asubuhi,mchana,usiku)

cost=gharama(asubuhi,mchana,usiku)

if cost<10000:
  print "bila punguzo"
if cost>10000:
  print "toa punguzo"
 
Hata sielewi shida ilikuwa nini maana nimerudia tena kufanya kama nilivyofanya mwanzo na imekubali..sijui nini ilikuwa tatizo ila nilifanya hivi ikakataa ila sasa imekubali....
Code:
def breakfast(asubuhi):
  if asubuhi=="chai":
    return 1000
  if asubuhi=="maziwa":
    return 2000
def lunch(mchana):
  if mchana=="wali":
    return 2500
  if mchana=="pilau":
    return 3000
def dinner(usiku):
  if usiku=="viazi":
    return 4000
  if usiku=="ndizi":
    return 7000
def gharama(asubuhi,mchana,usiku):
  return breakfast(asubuhi)+lunch(mchana)+dinner(usiku)
 
asubuhi=raw_input("Kifungua kinywa (chai au maziwa ?)")
mchana=raw_input("Chakula cha mchana(wali au pilau?)")
usiku=raw_input("Chakula cha usiku(viazi au ndizi)")

print "gharama ni tz sh. %s" %gharama(asubuhi,mchana,usiku)

cost=gharama(asubuhi,mchana,usiku)

if cost<10000:
  print "bila punguzo"
if cost>10000:
  print "toa punguzo"
Naomba nieleweshe ulivyoweka hizi codes hapa...

Umetumia screen shot au??
 
Back
Top Bottom