Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

MR Mambo vipi baada ya kusoma hili andiko lako nimeshawishika nikuulize kuuhusu hili kwa sasa unaweza mshauri nini mtu anayetaka kuwekeA katika kilimo kwa xbbu sasa naamini ujuzi na uzoefu wa kutosha unao
Inasemekana huyu bwana elnino hayuko hai kwa sasa. Akipata hasara kubwa msimu wa kwanza tu akaamua kujinyonga. Chezea kilimo wewe!

Kilimo unaweza kuvuna mqvuno mengi ukakosa, ama soko likawepo lkn mazao yakagoma. Hapo bado siasa haijaingilia kati.
 
Inasemekana huyu bwana elnino hayuko hai kwa sasa. Akipata hasara kubwa msimu wa kwanza tu akaamua kujinyonga. Chezea kilimo wewe!

Kilimo unaweza kuvuna mqvuno mengi ukakosa, ama soko likawepo lkn mazao yakagoma. Hapo bado siasa haijaingilia kati.
Si kweli
 
Wakuu nauliza kwa Ardhi ya Muheza Tanga zao gani lina muitikio mzuri kwa ile ardhi ? Vipi maharage yanastahimili ardhi ile?
 
Nakuelewa kwa hizi numbers
 
Ni kilimo cha kutegemea mvua ya Mungu au umwagiliaji? Ili uwe na uhakaki jizatiti na umwagiliaji. Kuna jamaa alikopa na kulima maharage, kulichotokea sitaeleza kwani ni masikitiko.
 
Inasemekana huyu bwana elnino hayuko hai kwa sasa. Akipata hasara kubwa msimu wa kwanza tu akaamua kujinyonga. Chezea kilimo wewe!

Kilimo unaweza kuvuna mqvuno mengi ukakosa, ama soko likawepo lkn mazao yakagoma. Hapo bado siasa haijaingilia kati.
Sio vzr kumzushia mtu
Last seen july mwaka jana,kafa lini?
Maana km hasar alipata zamani huko ndo aje ajinyongw last yr?😀🤔
 
Hongera sana EL kwa uamuzi wa busara. Ila nadhani hapo kwenye bold kwangu mm ni pazuri mno kuwa kweli (too good to be true) please please naomba upadefend.
Hongera kwa Maamuzi mazuri, iwe soma kwangu, nitakutafuta kwa ushauri wa karibu baadae nijifunze kitu asante.
 
Sasa we we unamtaji sisi tusie kua na mtaji tuanzaje
 
Post imeingiliwa na watot wa 2k
Angalien ilipostiwa mwaka gan na hiyo 5m kwa kipindi hicho ilikuwa na thaman kiasi gan achen kubeza maskin wezangu
 
Hivi mbegu ya mahindi kiasi gani inatosha kwa hekari moja?
 

🌱Group hili nikwa wakulima WA miti ya mitiki.

🌱Lengo Nikupeana ushauri juu ya upandaji na uvunaji pamoja na changamoto mbali mbali zinazolenga maswala ya miti.

🌱Pia Nikujua masoko ya ndani na nnjee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…