Nimewachoka hawa limbukeni wanaojiita wasomi. Bahati nzuri nimepata huyu asiyejua mengi, aliyejaa utu, utii na ubinadamu.
Akiombwa anatoa, akiambiwa anasikiliza na akibembelezwa anabembelezeka. Usaliti kwake ni zaidi ya dhambi....yaani ni mwiko.
Hajui mengi hivyo hajali mengi, maana wahenga wanasema "kujua mengi nako ni chanzo cha matatizo mengi".
Najisikia raha na faraja kwa huyu kiumbe japo hana kitu zaidi via vya uzazi.
Wasalaam!
Akiombwa anatoa, akiambiwa anasikiliza na akibembelezwa anabembelezeka. Usaliti kwake ni zaidi ya dhambi....yaani ni mwiko.
Hajui mengi hivyo hajali mengi, maana wahenga wanasema "kujua mengi nako ni chanzo cha matatizo mengi".
Najisikia raha na faraja kwa huyu kiumbe japo hana kitu zaidi via vya uzazi.
Wasalaam!