Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

Si bure ni dume zima linajifanya Manzi na kuanzisha Uzi

Takataka kabisa
 
Badala ya kutumia neno wamekulana eti wameliwa [emoji23]
Bwana wee wao ni kujifanya wanapoteza sanaaa kwa kuvua chupi kuliko sie wanaume wakati ukweli ni kuwa mwanaume ndio anatumia nishati kubwa mpaka game kumalizika pale kibo
 
Achana na vijana hao,njoo kwangu mstaafu uvune hekima,busara na pensheni pia mm sina cha kupoteza chochote utakacho kilicho ndani ya uwezo wangu nitakupa.
Karibu PM Madam.
 
Bwana wee wao ni kujifanya wanapoteza sanaaa kwa kuvua chupi kuliko sie wanaume wakati ukweli ni kuwa mwanaume ndio anatumia nishati kubwa mpaka game kumalizika pale kibo
Sio nishati tu mkuu, tunapoteza mpaka mbegu wakati wao yai lao wanabaki nalo.
Kwa hili wanaume tunaonewa sana, kwenye katiba mpya lazima na hili liwekwe.
 
Sio nishati tu mkuu, tunapoteza mpaka mbegu wakati wao yai lao wanabaki nalo.
Kwa hili wanaume tunaonewa sana, kwenye katiba mpya lazima na hili liwekwe.
🤣🤣🤣Umeongea kwa uchungu sana
 
Yani uko riiiiightttttt. Ataliwa ataumia vibaya sana. Ishieni tu hapo kila mtu achukue 50 zake
 
GT yryt gift
 
Nimekuvulia kofia veterani😅😅..sema nini, kuna mambo katika ujana mtu unafanya mpk ukija kutulia unasema hapa imetosha, hamna jipya duniani. Unyama mwingi sana mzee....salute
Tatizo vijana wa skuhizi hahwawi wakweli kwa wadada wanao kutana nao, na hapo ndipo tatizo linapo anzia.
Wanawake ni viumbe wazuri sana ikiwa anaingia kwenye ndoa yenye uwazi na itamfanya aishi kwa amani na furaha tele.
Minaonaga mfani hata hapa tu ndani, kijana u mdada akihitaji mahusiano lazima utamuona anakuja na ID mpya. Sasa swali ninali jiuliza ni wanaficha nini???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…