Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana wee wao ni kujifanya wanapoteza sanaaa kwa kuvua chupi kuliko sie wanaume wakati ukweli ni kuwa mwanaume ndio anatumia nishati kubwa mpaka game kumalizika pale kiboBadala ya kutumia neno wamekulana eti wameliwa [emoji23]
Aaah bwana..akijichangamsha mbona anawahi tu mapemaa
MnoooKumshauri mwanaume mwenzio anayejifanya demu nayo ni ngumu,!![emoji17][emoji848]
Alafu wewe....😎 mbona umeshangaa ile team yangu mkuu..🤔Da Vivi, shkamoo!
Sio nishati tu mkuu, tunapoteza mpaka mbegu wakati wao yai lao wanabaki nalo.Bwana wee wao ni kujifanya wanapoteza sanaaa kwa kuvua chupi kuliko sie wanaume wakati ukweli ni kuwa mwanaume ndio anatumia nishati kubwa mpaka game kumalizika pale kibo
🤣🤣🤣Umekosea sana.
Unapoanzisha vita, hakikisha kikosi chako ki imara, sawa Madam?
🤣🤣🤣Umeongea kwa uchungu sanaSio nishati tu mkuu, tunapoteza mpaka mbegu wakati wao yai lao wanabaki nalo.
Kwa hili wanaume tunaonewa sana, kwenye katiba mpya lazima na hili liwekwe.
Kutofika kileleni huo ni uzembe wako mwenyewe wala mwanaume asibebeshwe lawama.Sasa mwanaume kufika kileleni ni lazima ila mwanamke ni probability
Hapo ndo shida ilipo[emoji2]
😅😅Y nyie wanawake mnaona kugegedana ni kana kwamba umeliwa? Ahh muacha e na hiyo dhana potofu
Yani uko riiiiightttttt. Ataliwa ataumia vibaya sana. Ishieni tu hapo kila mtu achukue 50 zakeHujakosea 😀😀
Mihemko yako ndo ilifamya uone kama anakutaka… umejiskia vibaya kuona ye hayuko mawazo yako yalipo
Ukajipa moyo umuache as if mlikua kwenye mahusiano.
Mwenzako hana shida we ndo unatapatapa sasa
In short akirudi atakukula na urafiki hautaendelea utaumia kuliko sasa
Ila polee😉
Sasa aumie nini tena wakati kumtombana ni starehe jamaniYani uko riiiiightttttt. Ataliwa ataumia vibaya sana. Ishieni tu hapo kila mtu achukue 50 zake
Nimekuvulia kofia veterani😅😅..sema nini, kuna mambo katika ujana mtu unafanya mpk ukija kutulia unasema hapa imetosha, hamna jipya duniani. Unyama mwingi sana mzee....saluteAlafu wewe....😎 mbona umeshangaa ile team yangu mkuu..🤔
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara pika nije kula na kudekezana.
Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano, na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi. Basi leo tukachuniana tangu asubuhi, jioni hii nikamwambia I miss you, akaajibu thanx madam[emoji849].
Eeh pozi likaniishia nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo, nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.
Jibu alilonipa sasa Good luck [emoji3]
Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.
Sasa hivi nimekaa hapa tayari nishamiss, najua na yeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.
Wakuu, Je nimekosea kumpotezea huyu rafiki yangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtakulana matunda si muda mrefu, bakini njia kuu kama kubebishana bebishaneni na wenzi wenu[emoji848]
Tatizo vijana wa skuhizi hahwawi wakweli kwa wadada wanao kutana nao, na hapo ndipo tatizo linapo anzia.Nimekuvulia kofia veterani😅😅..sema nini, kuna mambo katika ujana mtu unafanya mpk ukija kutulia unasema hapa imetosha, hamna jipya duniani. Unyama mwingi sana mzee....salute
Shauri yao na matunda yao😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha walane kimasikhara bwana. Tupate visa kule Kwa rikiboy
Sent using Jamii Forums mobile app