Kabisaaa....mwendo wa kunisusia mbususu tuu ndio nachotaka. Ukiamua kupeleka lwa mwengine wee peleka tuu sii mali yako bwana kama mie vile ninavyopeleka kibamia changu kwa mbususu zingine
Ah haka kabamia kangu ukitaka kukaona sharti nikule topeHicho kibamia unakisema sana, ebu tuone niangalie km kweli kibamia [emoji85]
Ah haka kabamia kangu ukitaka kukaona sharti nikule tope
Mkuu huu ushauri wako umeotoa kwa uchungu sana dah, ila vitu hivi vinatia hasira sana ndo maana mauaji ya kimapenzi hayaishi siku hizi, am sure mme wake wake akijua ameisha, bora akatishe huo ujinga sasa1. Angalia wanao.
2. Tafakari aibu kwa wazazi wako.
3. Angalia uthamani wa ndoa yako.
4. Fuatilia story za wasaliti (ujuta)
Halafu fanya maamuzi, ashakulegeza huyo na ameshalala na wewe, anajua hauna ujanja tena.
Sijui mtu ana samehe vipi usaliti, imagine huyu ndo mke wako anaelezea mwanaume hivi, mpaka kumpikia?
Kufa ni kufa tuu....ata wewe utakufaShindwa Pepi nenda tu kwa crush wako mkamalizane [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakufa vibaya wewe na hiyo michezo yako
Utaliwa muda c mrefu wewUmekosea sana.
Unapoanzisha vita, hakikisha kikosi chako ki imara, sawa Madam?
Mkuu huu ushauri wako umeotoa kwa uchungu sana dah, ila vitu hivi vinatia hasira sana ndo maana mauaji ya kimapenzi hayaishi siku hizi, am sure mme wake wake akijua ameisha, bora akatishe huo ujinga sasa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kufa ni kufa tuu....ata wewe utakufa
Utanikuta peponi pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] walau nikifa nitaona kanzu la Yesu
Mkuu samahani nimequote kimakosa kwenye comment ya juu[emoji122]Umekosea sana.
Unapoanzisha vita, hakikisha kikosi chako ki imara, sawa Madam?
Cha msingi njoo kwanguWakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara pika nije kula na kudekezana.
Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano, na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi. Basi leo tukachuniana tangu asubuhi, jioni hii nikamwambia I miss you, akaajibu thanx madam[emoji849].
Eeh pozi likaniishia nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo, nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.
Jibu alilonipa sasa Good luck [emoji3]
Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.
Sasa hivi nimekaa hapa tayari nishamiss, najua na yeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.
Wakuu, Je nimekosea kumpotezea huyu rafiki yangu?
Utanikuta peponi pia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanachukulia ishu kubwa sanaY nyie wanawake mnaona kugegedana ni kana kwamba umeliwa? Ahh muacha e na hiyo dhana potofu
Bwana wee wakati kitu yenyewe ni natural na mnabhrudika wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanachukulia ishu kubwa sana
Wee jamaa nakuonaga katekista,kumbe kibaka haswaMimi nikitaka kuachwa na demu namuomba ndogo, lazima aje juu kama ngiri aliyejeruhiwa, alafu mchezo ndiyo umeisha.
Nyinyi mko penzini