Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

Nimeamua kumpotezea rafiki yangu

Fanya mambo mengine, mambo yake muachie mwenyewe...
 
Wakuu nilipata rafiki wa kiume, yeye ameoa na mimi nimeolewa ila familia zetu wote wapo mbali tumekutana mkoa mmoja, tukaanza urafiki mpaka ile stage ya kubebishana mara pika nije kula na kudekezana.

Nikaanza kuona hapa nikileta ujinga tutaingia kwenye mahusiano, na mtu mwenyewe jamaa anaonekana ana mambo mengi. Basi leo tukachuniana tangu asubuhi, jioni hii nikamwambia I miss you, akaajibu thanx madam[emoji849].

Eeh pozi likaniishia nikasema any way acha nimchane, nikamwambia naomba urafiki wetu uishie na maneno mazuri mazuri ya kumtia moyo, nikajaza paragraph mwisho nikamwambia ntakumiss bye.

Jibu alilonipa sasa Good luck [emoji3]

Mimi kuona hivyo nikamtia block na kufuta namba zake juu.

Sasa hivi nimekaa hapa tayari nishamiss, najua na yeye pia atakua kanimiss lakini najua ujeuri wa wanaume anaweza akamute kimya.

Wakuu, Je nimekosea kumpotezea huyu rafiki yangu?
Naona mnacheza mchezo wa hide n seek...all the best
 
Kisa juu ya kisa namie ngoja niongezee hapa changu.

Huyu bidada tulifahamiana 2021 kwenye magroup haya ya ku socialize kama vijana.
Tukawa tunawasiliana kama kawaida though tulikuwa wilaya tofauti lkn mkoa Mmoja.

Sikuwahi kumtongoza lkn kubebishana kama kawaida.

Mwaka jana kaja kitaani kwetu kama muajiriwa ofisi moja hivi, akanicheki na uzuri nilikuwa nipo around kwa wakati huo nilikuwa likizo ( mwezi wa 12, 2022), tukaonana story kadhaa, badae anavorudi kwake tukapitia gengeni chukua mazaga, tukasepa.

Nimefika kwake nikataka nitumie ubaharia na uzoefu wa humu kula kimasihara ikashindikana nikitumia advantage ya kuwa tushazoeana wayback, nikaaga nikasepa. Kesho asubuhi akaniomba msamaha kwa kunibania, nikaomba radhi pia ILA nikachomekea leo vpi sinije unipe sasa ,akajibu kaingia period akimaliza atanipa.

Likjzo ikaisha hajamaliza period, mie nikarudi kujitafuta. Ilitokea emergency home nikarudi, ilikuwa ni baada ya week kadhaa tangu niondoke, nikamwambia nimerudi story kadhaa nikamuomba gemu hakujibu sms zangu Hadi naondoka, hii ilikuwa ni attempt ya 2.

Attempt ya 3 nimefanya miez kadhaa iliopita nilirudi as usual kuchek mazingira ya homeland. Sikumwambia kama nimerudi, tukaja kuonana njian, salam za kinafiki kila mtu akala 50 zake. Acha asinambie oooh sorry kipindi kile umerudi nlikuwa bado niko period, kumbuka ni zaidi ya siku 20 zimepita hadi ile siku nimerudi bado alikuwa period, akaongeza afu unajua ndio mara yangu ya kwanza kwenda siku nyingi hivi, nikampa pole, nikamute.

Nilivoona kama ananikwepa nikaona nisiombe tendo ila niombe appointment akiwa anarudi home nimsindikize, imefika muda wa kuondoka kwenda home ,nikamchek akasema nisubir kuna mzigo anausibiria, nikasema ukiwa unaondoka naomba nicheki, HAKUNIJIBU ILE SMS hadi siku naondoka pale.

Nika write-off kwenye accn book zangu, nikampotezea, ikawa ni kuview status basi, mara moja moja anakomenti najibi kivivu nikiona analeta ukaribu ma kujichekesha namu ignore. Juzi kanicheki uko wapi??? Nika ignore hadi saivi, aende akapee coochie yake kwa alpha male
Safii japo ulitakiwa umuignore baada ya kuzingua ile ya kwanza au yapili
 
Bwana Bwana....ilinitokea 2016 mkaka tumekutana kazini uko tukawa na urafiki cm, kuchati mpaka saa 7 usiku mpaka ikafikia hatua ukisafir nisipiomuambia kesi analalamika...akifanya kitu bila kuniambia nanuna nabembelezwa baraa...
Nikaja fanya mchezo kama wako oooh naona tunazoeana sana bora tuwe mbali blah blah kibao,
Akafunga safari kuja kunibembeleza mama nini shida?? Bembelezwa mpaka usiku na kuliwa juuuu
Mpaka sasa ni mume wangu ila hana upendo na mimi ule wa dhati ni alipenda nilivyompambanaji tu
Na anasema yeye alikua anachukulia kama urafiki tu wa kawaida
 
Mtafute mwambie aje kula mbususu, lazima atakuja mbio na kwa Mapenzi yote.
 
Back
Top Bottom