Nimeamua kumsaidia mwanamke huyu

Nimeamua kumsaidia mwanamke huyu

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Mwaka huu 2/ 2022 jirani zangu walimpokea jamaa fulani tokea Kaskazini , niliambiwa amefika kwa ajili ya tiba na kuwasaidia mdogo mtu ( askari polisi aliyefutwa kazi na kaka mtu ambaye kwa mtazamo wangu ni mhanga wa madawa ya kulevya) , ninachokumbuka ni kuchinja kuku , kupasua nazi na kufanya ibada zao kwa kutumia kitabu kitakatifu cha wenzetu waislamu( siamini kama matumizi ya kitabu yalikuwa sahihi ,l)

Jumapili moja nikiwa kijijini kwetu alifika dada fulani ambaye mimi binafsi namfahamu ni mfanyakazi wa benki fulani pale Makambako, alipoondoka moja ya wapambe aliniambia yule dada ana jini mahaba hivyo hatongozwi na mwanaume yeyote, then alifanyiwa tiba(mimi ni mkiristo siamini , sijawahi kwenda kwa waganga ) then baada ya kusikia vile nilipoenda bank nilichuka contact za yule dada, then nilianza kuchat nae usiku na kumtongoza , but nilishia njiani kwa sababu niliogopa nisije kumla na nipatwe na matatizo ( tunambiwa jini mahaba huleta mikosi nk

Sasa leo simu imejipiga kwake then kapokea baada ya maongezi fulani nimemuliza una mpenzi au mchumba majibu ni nipo single nabaki najiuliza kweli yupo single , kama yupo single kwanin hadi sasa je nimle tu kumtolea mikosi

Kama yule mganga mkweli inakuwaje askari polisi hajarudi kazini na hajalipwa mafao yake, kaka mtu ndio kwanza anapotea, majirani waliofanya hizo sadaka ili mashamba yao yawe mazuri ,mbona shamba langu zuri kuliko wao?
 
kama kweli huyu dada amefanyiwa tiba itakuwa mikosi imeisha ndo maana umeweza kupata wazo la kumla....eti kumla mbususu ndo kumsaidia🤣 na simu imejipiga ☹️
 
kama kweli huyu dada amefanyiwa tiba itakuwa mikosi imeisha ndo maana umeweza kupata wazo la kumla....eti kumla mbususu ndo kumsaidia🤣 na simu imejipiga ☹️
mimi sio mtu wa wanawake kabisa, ila huyu nimemuonea huruma ngoja nimtafne , ntakuwa nimemsaidia sana , mwanamke kulala na mimi miaka hii ni bahati kwake
 
mimi sio mtu wa wanawake kabisa, ila huyu nimemuonea huruma ngoja nimtafne , ntakuwa nimemsaidia sana , mwanamke kulala na mimi miaka hii ni bahati kwake
okay sir ... all the best
 
Weka namba yake hapa ili vijana walio single wamtongoze iwe multiple treatments
 
mimi sio mtu wa wanawake kabisa, ila huyu nimemuonea huruma ngoja nimtafne , ntakuwa nimemsaidia sana , mwanamke kulala na mimi miaka hii ni bahati kwake
Huyo Dada siyo Kama hatongozwi, sema kuna level flani hivi ya Wanaume anaotaka yeye wamtongoze sizani Kama kwenye hiyo level utakua una fit!?
 
Kuna siku nilipata mdada kwenye daladala nikatongoza nikakubaliwa usiku nikapeleka ghetto. Kufika ghetto nikaanza na kisses peleka mikono kwenye nyapu hafla nasikia ukelele na mingurumo kama simba yupo ndani ya kifua chake. Kanitolea mimacho anaongea lugha siifahamu mara kanyanyuka na kutaka kunivamia nikasema mama…e bilisi leo kaniingiza cha kike hapa. Nilichupa dirishani narudi ghettoni majirani wananicheka nikasema chekeni lakini ibilisi leo kaleta dharau mama…e
 
Kuna siku nilipata mdada kwenye daladala nikatongoza nikakubaliwa usiku nikapeleka ghetto. Kufika ghetto nikaanza na kisses peleka mikono kwenye nyapu hafla nasikia ukelele na mingurumo kama simba yupo ndani ya kifua chake. Kanitolea mimacho anaongea lugha siifahamu mara kanyanyuka na kutaka kunivamia nikasema mama…e bilisi leo kaniingiza cha kike hapa. Nilichupa dirishani narudi ghettoni majirani wananicheka nikasema chekeni lakini ibilisi leo kaleta dharau mama…e
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom